Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilikuwepo nyingi tuu...na movie nyingi tuu zilitengenezwa...ila kila movie ilitengenezwa kwa kutegemea simulizi za INJILI KM ILIVYOADIKWA NA NANI.Kuna picture ziishchorwa na kuna picture iliyopigwa ktk zulia wanaloamini lilikuwa sanda Yake na kuleta picture km hiyo.Je kabla huyo bria ajaigiza kama yesu kulikuwa na picha ya yesu? Tafadhali naomba jibu kwa anaye fahamu
Actor mwingine haimaanishi ni character mwingine....kwanini usiwe serious ktk hilo.Nelson Mandela ataactiwa na watu wengi sana...ila historical Mandela atabaki yule yule.Najua ni rahisi sana nyie kufanya mizaha.Ila ulimwengu wa roho hauna mizaha kihivyo....Yupo "Yesu mwingine" anaitwa Meil Gibson alicheza picha ya The Passion of Jesus Christ! Meil Gibson anafanana sana na Yesu wa Nazareti. Mwaka jana alikuja Bongo na kila alipokwenda alifuatwa na makundi ya makubwa ya watu wakimuita na kumfananisha na Yesu wa Nazareti. Baada ya kumaliza kucheza The Passion of Jesus Christ, Meil Gibson aliokoka na sasa anasambaza neno la Mungu. Wakati wanacheza picha ya the Passion of Jesus Christ huko Israel/Palestine, kuna wakati waigizaji waligoma. Basi Director wa movie akamwambia Meil Gibson, Wewe Yesu hebu kaongee na wafuasi wako wamegoma. "Yesu" baada ya kuongea na wafuasi wake wakaacha mgomo na kuendelea ku act hiyo picha.
Ethopia walikuwa central ktk kuibuka kwa dini za kiyahudi,kikristu na hata uislam,walideal na mitume wao directly.....lugha yao haijabadilika sana tangu zamani kwa hiyo choice ao ya vitabu ktk Biblia yao itakuwa yao zaidi kwani Kanisa lao pia lina Mamlaka tofauti pia.Tafrisi inaweza kuwepo ya lugha nyingine,ila Kiswahili tunaweza kuwa na shida kwani hatuna vyombo bora vyenye resources ktk kutafrisi.Pia ingekuwa nao wana uwezo wangeweza shawishika kutafsiri ili wakaendeze...Abyssinia hiyo..ni mojawapo ya mataifa yatakayokuwa katikati ya vita za dunia za kidini..na vita za kidunia kati ya shetani na watu wa Mungu.List of books in the Orthodox Tewahedo Bible Old Testament 1. Genesis 2. Exodus 3. Leviticus 4. Numbers 5. Deuteronomy 6. Joshua 7. Judges 8. Ruth 9. I and II Samuel 10. I and II Kings 11. I Chronicles 12. II Chronicles (incl. the Prayer of Manasseh ) 13. Jubilees 14. Enoch 15. Ezra-Nehemiah 16. Ezra (2nd) and Ezra Sutuel 17. Tobit 18. Judith 19. Esther 20. I, II and III Meqabyan (Similarly named, but not the same as the four Greek Books of the Maccabees. ) 21. Job 22. Psalms 23. Messalë ( Proverbs ch 124) 24. Tägsas ("Reproof"; Proverbs ch 2531) 25. Wisdom of Solomon 26. Ecclesiastes 27. Song of Songs 28. Isaiah 29. Jeremiah (incl. Lamentations , Letter of Jeremiah , Baruch and 4 Baruch) 30. Ezekiel 31. Daniel 32. Hosea 33. Amos 34. Micah 35. Joel 36. Obadiah 37. Jonah 38. Nahum (or Nahium) 39. Habakkuk 40. Zephaniah 41. Haggai 42. Zechariah 43. Malachi 44. Sirach 45. Josippon New Testament 1. Matthew 2. Mark 3. Luke 4. John 5. Acts of the Apostles 6. Romans 7. I Corinthians 8. II Corinthians 9. Galatians 10. Ephesians 11. Philippians 12. Colossians 13. I Thessalonians 14. II Thessalonians 15. I Timothy 16. II Timothy 17. Titus 18. Philemon 19. Hebrews 20. I Peter 21. II Peter 22. I John 23. II John 24. III John 25. James 26. Jude 27. Revelation 28. Ser`atä Seyon (30 canons) 29. Te'ezaz (71 canons) 30. Gessew (56 canons) 31. Abtelis (81 canons) 32. I Covenant 33. II Covenant 34. Ethiopic Clement 35. Ethiopic Didascalia Wanajukwaa naomba niulize na kama kunamtu mwenye jibu sahihi tafadhali anifahamishe. Mtiririko huo hapo juu ni vitabu katika bibilia ya Ethiopia kinachonipa shida mm ni hivyo vitabu vingine ambavyo havipo kwenye bibilia nyingine zote isipo kuwa ya Ethiopia tu. Swali?.. Ina maana hakuna tafsiri ya hivi vitabu au hapa iko vp? Mdau yoyote mwenye kufahamu kuhusu hili naomba anijuze
Huyu ni fake nikihusianisha na Mambo ya walawi 19:27
Unataka kuniambia before jamaa hajazaliwa 1949 machapisho ya kiroho yalikua na picha nani?? au hayakua na picha??View attachment 247773
Si nia yangu kujadili katika mlengo huu, bali kujifunza na kuielewa dunia ilikotoka na iendako, katika machapisho mengi ya kiroho hasa ya kikristu hutumia picha ya Brian Robert Deacon inayofahamika kuwa ni ya Yesu Kristu wa Nazareti, lakini upembuzi wangu umebaini kuwa Anaitwa Brian Deacon, amezaliwa 13 February 1949 Huko Oxford Uingereza, Baba yake anaitwa Robert Thomas Deacon ambae aitaalamu alikuwa faundi magari, Mama yake anaitwa Eileen Mary ambaye alikuwa Nesi, Brian Deacon ni Mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yao, Brian Deacon alioa mke wa kwanza mwaka 1977 aitwae Rula Lenska ambae amezaa nae mtoto mmoja aitwae Lara Brian Deacon, Lakini Mwaka 1982 mkewe alimtuhumu mumewe kutembea nje ya ndoa na ndoa yao kuvunjika, Alikaa miaka 16 na Hawara yake Cecy Redknap mpenzi wake wa muda mrefu, Mwaka 1998 alioa kke mwingine aitwaye Natalie Block ambaye mpaka leo wako pamoja,
Msanii Brian Deacon alipata tenda ya kuigiza katika Filamu kama YESU, Filamu alizowahi kushiriki ni A - Zed & Two Nought Mwaka 1985, Feather Seapent Mwaka 1976, Lillie Mwaka 1978 Na nk, Wakristo Sura Deacona huyu Msanii wanaitumia katika maombi yao mbele za Mungu kama sura ya YESU Mnazareti, Pia katika Makanisani Wameweka sura yake ikiwakilisha uwepo wa Yesu.
Kuna walioweka picture ya farasi mwenye kichwa cha binti na wapo hapa wanapiga kelele kwa nguvu kuwa wao hawana picture.Mkuu hivi na wewe umeweka hio picha ya Brian chumbani kwako?
View attachment 247773
Si nia yangu kujadili katika mlengo huu, bali kujifunza na kuielewa dunia ilikotoka na iendako, katika machapisho mengi ya kiroho hasa ya kikristu hutumia picha ya Brian Robert Deacon inayofahamika kuwa ni ya Yesu Kristu wa Nazareti, lakini upembuzi wangu umebaini kuwa Anaitwa Brian Deacon, amezaliwa 13 February 1949 Huko Oxford Uingereza, Baba yake anaitwa Robert Thomas Deacon ambae aitaalamu alikuwa faundi magari, Mama yake anaitwa Eileen Mary ambaye alikuwa Nesi, Brian Deacon ni Mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yao, Brian Deacon alioa mke wa kwanza mwaka 1977 aitwae Rula Lenska ambae amezaa nae mtoto mmoja aitwae Lara Brian Deacon, Lakini Mwaka 1982 mkewe alimtuhumu mumewe kutembea nje ya ndoa na ndoa yao kuvunjika, Alikaa miaka 16 na Hawara yake Cecy Redknap mpenzi wake wa muda mrefu, Mwaka 1998 alioa kke mwingine aitwaye Natalie Block ambaye mpaka leo wako pamoja,
Msanii Brian Deacon alipata tenda ya kuigiza katika Filamu kama YESU, Filamu alizowahi kushiriki ni A - Zed & Two Nought Mwaka 1985, Feather Seapent Mwaka 1976, Lillie Mwaka 1978 Na nk, Wakristo Sura Deacona huyu Msanii wanaitumia katika maombi yao mbele za Mungu kama sura ya YESU Mnazareti, Pia katika Makanisani Wameweka sura yake ikiwakilisha uwepo wa Yesu.
Yupo "Yesu mwingine" anaitwa Meil Gibson alicheza picha ya The Passion of Jesus Christ!
Meil Gibson anafanana sana na Yesu wa Nazareti. Mwaka jana alikuja Bongo na kila alipokwenda alifuatwa na makundi ya makubwa ya watu wakimuita na kumfananisha na Yesu wa Nazareti.
Baada ya kumaliza kucheza The Passion of Jesus Christ, Meil Gibson aliokoka na sasa anasambaza neno la Mungu.
Wakati wanacheza picha ya the Passion of Jesus Christ huko Israel/Palestine, kuna wakati waigizaji waligoma. Basi Director wa movie akamwambia Meil Gibson, Wewe Yesu hebu kaongee na wafuasi wako wamegoma. "Yesu" baada ya kuongea na wafuasi wake wakaacha mgomo na kuendelea ku act hiyo picha.
mkuu gibson hajawahi kuigiza muvi ya yesu bali alikuwa muongozaji(director)