Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Henry Byron Warner (1927)
"The Ten Commandments"
Jeffrey Hunter (1961)
"King of Kings,"
Max von Sydow (1965)
"The Greatest Story Ever Told"

Robert Powell (1977)
"Jesus of Nazareth,"
Henry Ian Cusick (2003)
"Lost"
 
huyo ni BRIAN DECON mzaliwa wa uingereza mwenye asili ya uyadi.
Aliweza kupita ktk mchujo wa watu elfu moja waliopita ktk mchujo wa nani atakae kuwa nyota ktk filamu hiyo.
Aliweza kuisoma Biblia mara nyingi zaidi ili kumjua yesu kiundani.
Mwisho wa siku bwana huyu alikuja kuokoka.
Ukumbukwe kwamba filamu ya yesu ndio filamu ilietafsiriwa ktk lugha nyingi zaidi duniani na ni filamu iliyotazamwa kwa muda mrefu.
Ni filamu yenye mafunzo mengi na isiyobagua umri wa mtazamaji.

kaka nashukuru kwa maelezo yako mazuri umeniongezea kitu.
 
mbona zile picha za brian deacon mmetundika makanisani mwenu, na kundi kubwa la wakristo wanaamini kuwa huyo ndo yesu mwenyewe, hata wanaodai wametokewa na yesu ktk njozi huwa wanadai kwa taswira ya brian deacon, hata akina yakhe wazee wa dinu li haku tulivokuwa tukihoji tunabishiwa mpaka basi, hata picha ya bikira maria ni ya kufoj na cha ajabu sanamu lake linasujudiwa wakati ni dhahir shahir kuwa sio picha halisi. kuna haja ya wakristo sasa kuchambua yanayofaa na yasiyo faa
hapo umenena yaani tunaokoka kwa picha za yesu but si mtu halisi labda wadau waliozamia watufahamishe
 
Kuna uzi humu ulishawahi kumzungumzia huyu jamaa kwa upana zaidi

Uko Jamii Intelligence, umefafanuliwa kwa urefu, namna alivyopatikana mpaka akafuzu kucheza,
Changamoto alizokutana nazo na vingine vingi
 
Hazisujudiwi ila uwepo wake unakumbusha tu uwepo tu wa kitu cha namna hiyo. Ni kama unavyoweza kuchora picha yako its not real ila ukiiona unajikumbuka. Lakini cha zaidi ni kuna hata wapagani ambao wanaabudu miti na mawe na hawana shida na mtu yoyote. Pa kuanzia kuna dini ambazo ni kitovu cha fujo na ughaidi hizi ndizo zinahitaji kufanyiwa overhaul.

Serious overhaul, daka likes 2
 
jesus.jpg


Si nia yangu kujadili katika mlengo huu, bali kujifunza na kuielewa dunia ilikotoka na iendako, katika machapisho mengi ya kiroho hasa ya kikristu hutumia picha ya Brian Robert Deacon inayofahamika kuwa ni ya Yesu Kristu wa Nazareti, lakini upembuzi wangu umebaini kuwa Anaitwa Brian Deacon, a
mezaliwa 13 February 1949 Huko Oxford Uingereza, Baba yake anaitwa Robert Thomas Deacon ambae aitaalamu alikuwa faundi magari, Mama yake anaitwa Eileen Mary ambaye alikuwa Nesi, Brian Deacon ni Mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yao, Brian Deacon alioa mke wa kwanza mwaka 1977 aitwae Rula Lenska ambae amezaa nae mtoto mmoja aitwae Lara Brian Deacon, Lakini Mwaka 1982 mkewe alimtuhumu mumewe kutembea nje ya ndoa na ndoa yao kuvunjika, Alikaa miaka 16 na Hawara yake Cecy Redknap mpenzi wake wa muda mrefu, Mwaka 1998 alioa kke mwingine aitwaye Natalie Block ambaye mpaka leo wako pamoja,

Msanii Brian Deacon alipata tenda ya kuigiza katika Filamu kama YESU, Filamu alizowahi kushiriki ni A - Zed & Two Nought Mwaka 1985, Feather Seapent Mwaka 1976, Lillie Mwaka 1978 Na nk, Wakristo Sura Deacona huyu Msanii wanaitumia katika maombi yao mbele za Mungu kama sura ya YESU Mnazareti, Pia katika Makanisani Wameweka sura yake ikiwakilisha uwepo wa Yesu.
 
Yupo "Yesu mwingine" anaitwa Meil Gibson alicheza picha ya The Passion of Jesus Christ!

Meil Gibson anafanana sana na Yesu wa Nazareti. Mwaka jana alikuja Bongo na kila alipokwenda alifuatwa na makundi ya makubwa ya watu wakimuita na kumfananisha na Yesu wa Nazareti.

Baada ya kumaliza kucheza The Passion of Jesus Christ, Meil Gibson aliokoka na sasa anasambaza neno la Mungu.

Wakati wanacheza picha ya the Passion of Jesus Christ huko Israel/Palestine, kuna wakati waigizaji waligoma. Basi Director wa movie akamwambia Meil Gibson, Wewe Yesu hebu kaongee na wafuasi wako wamegoma. "Yesu" baada ya kuongea na wafuasi wake wakaacha mgomo na kuendelea ku act hiyo picha.
 
View attachment 247773


Si nia yangu kujadili katika mlengo huu, bali kujifunza na kuielewa dunia ilikotoka na iendako, katika machapisho mengi ya kiroho hasa ya kikristu hutumia picha ya Brian Robert Deacon inayofahamika kuwa ni ya Yesu Kristu wa Nazareti, lakini upembuzi wangu umebaini kuwa Anaitwa Brian Deacon, a
mezaliwa 13 February 1949 Huko Oxford Uingereza, Baba yake anaitwa Robert Thomas Deacon ambae aitaalamu alikuwa faundi magari, Mama yake anaitwa Eileen Mary ambaye alikuwa Nesi, Brian Deacon ni Mtoto wa pili kuzaliwa katika familia yao, Brian Deacon alioa mke wa kwanza mwaka 1977 aitwae Rula Lenska ambae amezaa nae mtoto mmoja aitwae Lara Brian Deacon, Lakini Mwaka 1982 mkewe alimtuhumu mumewe kutembea nje ya ndoa na ndoa yao kuvunjika, Alikaa miaka 16 na Hawara yake Cecy Redknap mpenzi wake wa muda mrefu, Mwaka 1998 alioa kke mwingine aitwaye Natalie Block ambaye mpaka leo wako pamoja,

Msanii Brian Deacon alipata tenda ya kuigiza katika Filamu kama YESU, Filamu alizowahi kushiriki ni A - Zed & Two Nought Mwaka 1985, Feather Seapent Mwaka 1976, Lillie Mwaka 1978 Na nk, Wakristo Sura Deacona huyu Msanii wanaitumia katika maombi yao mbele za Mungu kama sura ya YESU Mnazareti, Pia katika Makanisani Wameweka sura yake ikiwakilisha uwepo wa Yesu.

sasa mbona unarudia tu yaleyale yaliyojadiliwa humu.. .. au hoja yako ni ni ipi mkuu
 
Yupo "Yesu mwingine" anaitwa Meil Gibson alicheza picha ya The Passion of Jesus Christ!

Meil Gibson anafanana sana na Yesu wa Nazareti. Mwaka jana alikuja Bongo na kila alipokwenda alifuatwa na makundi ya makubwa ya watu wakimuita na kumfananisha na Yesu wa Nazareti.

Baada ya kumaliza kucheza The Passion of Jesus Christ, Meil Gibson aliokoka na sasa anasambaza neno la Mungu.

Wakati wanacheza picha ya the Passion of Jesus Christ huko Israel/Palestine, kuna wakati waigizaji waligoma. Basi Director wa movie akamwambia Meil Gibson, Wewe Yesu hebu kaongee na wafuasi wako wamegoma. "Yesu" baada ya kuongea na wafuasi wake wakaacha mgomo na kuendelea ku act hiyo picha.

Huyu wako atakuwa feki make mie toka mdogo kichwa na akiri yote imemkubali mkubwa Deacon kwa kila kitu
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom