Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Hapana,nasema ile ni hide out,kwa hiyo bora isitajwe,kwa sababu labda siku moja Magufuli atahitaji kukimbilia kule,watu wa kazi wakicharuka. Unakumbuka alivyosema Kambona,kwamba Mwalimu alivishwa baibui akatoroka,mimi ndio nikabakia kukabiliana na wale wanajeshi wenye gadhabu,kwa sababu mimi ndie nilikuwa Waziri wa Ulinzi.Sawa Mkuu ! Ni wasiwasi wangu tu pengine mpaka sasa imekwisha Fisadiwa na wanene!.Kama Masaki waliuziana bado nitabaki na dukuduku kama itakuwa bado ni Mali ya Umma c/o sirikali