Huyu ndiye mtoto wa kwanza wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere

Mwalimu hajapata kuwa na mtoto wa kizungu wala wa kiafrika tofauti na wale wanaojulikana. Mwalimu alikuwa Mkatoliki wa kweli, siyo kama baba riz!!!

Mkatoliki wa kweli anakuwaje na Mkatoliki wa uongo anakuwaje? Sikujuwa kama Baba Riz ni Mkatoliki. Mtu kama Slaa ni mkatoliki wa kweli au wa uongo kwa muono wako, maana inaonesha wewe ni mtaalam wa ukatoliki.
 
Hayajibuki ndio maana tuna part 2.....forget about part 1

Mwitongo: Huyu Andrew ndio yule mwenye mtoto wa kizungu aliyekufa ulaya akaomba aje azikwe next na babu yake?

Kafa halafu kaomba kuja kuzikwa? hapa inabidi uulize vizuri, maiti ina omba?
 
Mwalimu kaacha taifa maskini duniani licha ya uwepo wake wa miaka 24 kwenye uongozi. Yakamshinda akang'atuka. Alipokabidhiwa hii nchi ilikuwa ya kwanza katika Afrika kusafirisha bidhaa za kilimo katika Afrika, alipong'atuka kaiacha ni maskini wa mwisho duniani.

Kwa miaka 26 mlioshika uongozi mmefanya nini? Mwatex? Kilitex? General Tyres? Tanganyika Packers? Machine Tools? Railway? ATC? Ranchi za taifa? viwanda vya kubangua korosho? Katani? Elimu bure? huduma za afya bure?

26 yrs of looting, mashimo matupu, watu wanakula mapanki.
 
Mkatoliki wa kweli anakuwaje na Mkatoliki wa uongo anakuwaje? Sikujuwa kama Baba Riz ni Mkatoliki. Mtu kama Slaa ni mkatoliki wa kweli au wa uongo kwa muono wako, maana inaonesha wewe ni mtaalam wa ukatoliki.
Swali zuri sana hili...
 
Unapomsema Dk. Slaa unapaswa kumsema kwa staha, maana huyo ni presidential material, usimtaje taje bula mpangilio! Hapa tunamzungumzia first born wa Mwalimu!!!!
 
Jamaa msela sana......hapa yuko US......Tofauti na yale ma LE MUTUZ sijui

CIMG1184.JPG
 
Unapomsema Dk. Slaa unapaswa kumsema kwa staha, maana huyo ni presidential material, usimtaje taje bula mpangilio! Hapa tunamzungumzia first born wa Mwalimu!!!!
Atasubiri sana...
Raisi mwenyewe wa ukweli watu hapa wanamsema vibaya...sembuse huyo mbunge mstaafu!!!
 
Unapomsema Dk. Slaa unapaswa kumsema kwa staha, maana huyo ni presidential material, usimtaje taje bula mpangilio! Hapa tunamzungumzia first born wa Mwalimu!!!!

Ilikuhusu nini kumtaja Baba Riz? kama unasema hapa unamzungumzia first born wa Mwalim? halafu unamuhusisha na ukatoliki?

Nasikia kuwa Andrew ni chizi (mwenda wazimu) na nasikia si yeye pekee kwenye ukoo, ni wazimu wa asili (genetically), fafanuwa.
 
Naomba nirudie suali langu la kuleee part 1:

Je ni kweli Mwalimu alikataa kwenda London kuangalia afya
lakini akalazimishwa na Ben.
 
Ilikuhusu nini kumtaja Baba Riz? kama unasema hapa unamzungumzia first born wa Mwalim? halafu unamuhusisha na ukatoliki?

Nasikia kuwa Andrew ni chizi (mwenda wazimu) na nasikia si yeye pakee kwenye ukoo, ni wazimu wa asili (genetically), fafanuwa.

Kwa hiyo na Mwalimu (aliye asisi taifa na CCM) naye ni mwenda wazimu?
 
NI kweli mwalimu alisita kwenda Uingereza kama alivyosema Vincent. Siri ya kifo cha mwalimu inahitaji mwaka mzima kuijadili hapa. Tuombe Mungu tupate muda. tutaijadili. Kuhusu Andrew, si kweli kwamba ni kichaa, isipokuwa matatizo madogo tu ya aina hiyo yapo katika ukoo wote wa Nyerere Burito. Hadi kina manyerere, yule mwandishi walishaugua na kulazwa muhimbili kwa miezi mingi. lakini si kichaa, ni ugonjwa tu wa kawaida!!!!
 
khaaaaa watu wanakusaka uwajibu maswali yao kumbe umehamia huku
rudi bwana katujibu
Ndugu zangu, nasikitika kwamba wakati nawapa vionjo kuhnusu Andrew Nyerere kuwa ndiye firts born wa Mwalimu Nyerere, nilipatwa na mkasa nikashindwa kuendelea. Nashukuru kuona kuna maswali mengi sana. Nitajitahidi kuyajibu baadhi kadri itakavyowezekana.

Kwanza, huyu Andrew ndiye yule Ganesh. Kwa kweli hana makuu, ni mara chache amekuwa akipanda gari. Ni kawaida kumuona akitembea kutoka Msasani hadi Kariakoo, Magomeni na Posta. Ni vigumu kumfanya mtu aamini kuwa huyu ni mtoto wa Baba wa Taifa kwa sababu hana makuu. Na kama nilivyosema, ni ex fighter pilot ktk JWTZ kama alivyokuwa pia mdogo wake, John. Naomba tuendelee na mjadala, lakini maswali yawe ya staha.
 
NI kweli mwalimu alisita kwenda Uingereza kama alivyosema Vincent. Siri ya kifo cha mwalimu inahitaji mwaka mzima kuijadili hapa. Tuombe Mungu tupate muda. tutaijadili. Kuhusu Andrew, si kweli kwamba ni kichaa, isipokuwa matatizo madogo tu ya aina hiyo yapo katika ukoo wote wa Nyerere Burito. Hadi kina manyerere, yule mwandishi walishaugua na kulazwa muhimbili kwa miezi mingi. lakini si kichaa, ni ugonjwa tu wa kawaida!!!!

Kama si kichaa ni wenda wazimu kwa Kiswahili, jee unaweza kutwambia kuwa huo "ugonjwa wa kawaida" uliowaathiri ukoo mzima unaitwaje kitaalam?
 
Back
Top Bottom