Huyu Ndiye Makamba

QUOTE=Wa Ndima;1122417]


Ndugu zangu mnakosea,
Ndugu Wa Ndima katupa kipande hiki ili kisambazwe kwa watu wengi kuonyesha nini kile CCM imekusudia. Tafadhali nawaomba mtume kipande cha video hii kwa watu wengi sana kama mna emaili ambazo zina list-serve basi tuisambaze sana kwani hiyo ni kampeni tosha. Asante ndugu Wa Ndima kama kuna vipande vingine kama hivi ikiwa ni pamoja zile hotuba za Kikwete kuwa wasichana wenye kiherehere na kuwa hawezi kukaa nchini kwetu kugawana umaskini basi nazo zisambazwe. Mapambano bado yanaendelea na ......[/QUOTE]

Nimekusoma Rugemeleza, nitaviweka vipande vingine vya kipuuzi vya CCM kadri nitakavyovipata na naomba Wana JF mvisambaze kwa kila mwananchi wa Tanzania ajionee hawa mafisadi CCM walivyo.

Haya wale viherehere wapenda CCM mbona siwaoni katika hili?
 
Last edited by a moderator:
This is really unbeliveable na haikubaliki. Audience wake walikuwa kina nani? Afadhali hata kama angesema nimedhamiria kuondoka umaskini wangu lakini yeye anatumia tumedhamiria ikiwa ina maana kuna mkakati wa makusudi kabisa ambao CCM kimeutengeneza na kitaendelea kuutumia. Jamani wana CCM hata kama tunakipenda chama lakini kweli kwa hali hii tuko tayari kukirudisha chama hiki madarakani? Tunafaidika nini kwa viongozi wetu kuondoka umaskini wao wakati sisi tunabaki kuwa maskini wa kutupa? Hivi Makamba ni lazima aongee? Kwanini huwa hajipimi kabla hajatoa kauli tata?

Hivi anavyosema "A hungry man is always an angry man?" ana maana gani kwamba vyama vya siasa vina njaa ndio maana vinapiga kelele vikishiba vitanyamaza?

Hebu tufanye maamuzi sahihi ndugu zangu tarehe 31/10/2010 na kuchagua mabadiliko. Hivi tunahitaji Mungu aongee lugha gani ili tujue kuwa tunahitaji mabadiliko ya dhati?
 
This is really unbeliveable na haikubaliki. Audience wake walikuwa kina nani? Afadhali hata kama angesema nimedhamiria kuondoka umaskini wangu lakini yeye anatumia tumedhamiria ikiwa ina maana kuna mkakati wa makusudi kabisa ambao CCM kimeutengeneza na kitaendelea kuutumia. Jamani wana CCM hata kama tunakipenda chama lakini kweli kwa hali hii tuko tayari kukirudisha chama hiki madarakani? Tunafaidika nini kwa viongozi wetu kuondoka umaskini wao wakati sisi tunabaki kuwa maskini wa kutupa? Hivi Makamba ni lazima aongee? Kwanini huwa hajipimi kabla hajatoa kauli tata?

Hivi anavyosema "A hungry man is always an angry man?" ana maana gani kwamba vyama vya siasa vina njaa ndio maana vinapiga kelele vikishiba vitanyamaza?

Hebu tufanye maamuzi sahihi ndugu zangu tarehe 31/10/2010 na kuchagua mabadiliko. Hivi tunahitaji Mungu aongee lugha gani ili tujue kuwa tunahitaji mabadiliko ya dhati?

Sema wewe mi huwa natamani kulia kwa uchungu kwa kweli
 
Hiyo ndiyo Chukua Chako Mapema (CCM). Kwa wasioelewa vizuri, ni kwamba ukishaukwaa uongozi ndani ya ccm au ndani ya serikali inayoongozwa na ccm, hatua ya kwanza ni kuhakikisha unajimegea gawio lako mapema kabisa. Wananchi wataendelea kulaumu lakini hiyo ndiyo slogan yao na wanaitekeleza kwa nguvu zao zote. Tunachotakiwa ni kuwaondoa kwenye hazina ya nchi hii ili wananchi wote wafaidi badala ya kufaidi kikundi kimoja tu cha mafisadi.
 
Kazee kanaiba pesa nyingi sijui za nini wakati hakavuki miaka 5 ijayo lazima kafe
 
Kuna tofauti kati ya "information" na "propaganda" --- sana sana "political propaganda". Hata hivyo, propaganda yeyote (political or sociological) mojawapo ya mafanikio yake ni kwamba watu wengi hutongozeka na kujumuika, mithili ya mgoma ya mdundiko! Wengine tutafikiria hayo ya Makamba ni propaganda za ukutani. Kumbe tunapoyapinga, tunazalisha na kuchochea propaganda zetu!

Naamini kuna mifano mingi duniani leo hii (Ujerumani ya Nazi, Serbia, Rwanda na Kenya) ambako "political propaganda has influenced others to death"!

Kwahiyo, wa-Tanzania wenzangu, tutumie akili zenu kwa makini ili tuondokane na kushawishika na propaganda za namna yeyote za vyama, hasa wakati huu wa Uchaguzi Mkuu!
 
Back
Top Bottom