Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Nakubaliana na wengi. Huyu Homeboy anajiweza sana. Kama ataendelea na tabia yake hiyo basi kwa CCM ana nafasi kubwa.
Ila kwa upande mwingine, kwa uwezo wake huo, angeliweza kupigana mwenyewe na kufika mbali bila ya kubebwa.
Matatizo ya kubebwa mdogo wangu ni kuwa siku ikibidi kwenda kuzima moto, basi wewe watakuwa KAFARA. Na hutaweza kubisha kwa sababu umeshafadhiliwa sana na hao jamaa.
Kama una akili, CHUKUA CHAKO MAPEMA na ukimbie haraka sana Siasa. Huko uliko wameshaanza kuraruana sasa hivi na siku zinavyokwenda basi wataanza kumla mzima mzima kila mpinzani wa kundi fulani ndani ya CCM. Sijui hapo wewe utajiweka kundi gani.
Kichwa unacho, huhitaji GAMBA kubebwa. Waombe wakupeleke ukachukue Masters na ukitoka huko, unakuwa na wewe Chenge wa Nzega kama siyo Mkono. Utakuja kuishia kuwa kama Mchumi wa first class Nchemba Mwigulu Lameck Mkumbo.
Ila kwa upande mwingine, kwa uwezo wake huo, angeliweza kupigana mwenyewe na kufika mbali bila ya kubebwa.
Matatizo ya kubebwa mdogo wangu ni kuwa siku ikibidi kwenda kuzima moto, basi wewe watakuwa KAFARA. Na hutaweza kubisha kwa sababu umeshafadhiliwa sana na hao jamaa.
Kama una akili, CHUKUA CHAKO MAPEMA na ukimbie haraka sana Siasa. Huko uliko wameshaanza kuraruana sasa hivi na siku zinavyokwenda basi wataanza kumla mzima mzima kila mpinzani wa kundi fulani ndani ya CCM. Sijui hapo wewe utajiweka kundi gani.
Kichwa unacho, huhitaji GAMBA kubebwa. Waombe wakupeleke ukachukue Masters na ukitoka huko, unakuwa na wewe Chenge wa Nzega kama siyo Mkono. Utakuja kuishia kuwa kama Mchumi wa first class Nchemba Mwigulu Lameck Mkumbo.