point alikuwa nazo! tatizo njia aliyoitumia kufikisha point zake ni mbovu! sasa mtu anayesahihisha mtihani yeye anamuda wa kusoma majibu na kusahihisha tu, hana muda wakusoma ujumbe, na kama alitaka kufikisha uo ujumbe kwanini asinge tumia njia kibao tu sasa na watu wangepata ujumbe, adi magazeti ya udaku ya mejaaa skuizi hayana kazi! mtoto mbwiga tu huyo ye muache awafwatishe hao clouds fm ambao hawana elimu wenzake alafu aone kama ajaishia kama wakina mr blue na kuzaa na kuita watoto majina ya waimba nyimbo wenzao huku future ikiwa ina shake! hata usipokuwa na utajiri wa ajabu, ila elimu inanafasi kubwa katika mabadiliko ya kimaisha hasa kwa sasa. tatizo mishule ya kata skuizi inabeba hadi vitoto viuni mno ndo mana! je na hao waloichora wacheza mpira na michezo, walikuwa wanafikisha ujumbe wa watu wa olompic au? watoto mambwiga hawa.