Huyu ndio yule mwanafunzi alieandika mistari ya bongofleva kwenye mtihani wa form four 2011

point alikuwa nazo! tatizo njia aliyoitumia kufikisha point zake ni mbovu! sasa mtu anayesahihisha mtihani yeye anamuda wa kusoma majibu na kusahihisha tu, hana muda wakusoma ujumbe, na kama alitaka kufikisha uo ujumbe kwanini asinge tumia njia kibao tu sasa na watu wangepata ujumbe, adi magazeti ya udaku ya mejaaa skuizi hayana kazi! mtoto mbwiga tu huyo ye muache awafwatishe hao clouds fm ambao hawana elimu wenzake alafu aone kama ajaishia kama wakina mr blue na kuzaa na kuita watoto majina ya waimba nyimbo wenzao huku future ikiwa ina shake! hata usipokuwa na utajiri wa ajabu, ila elimu inanafasi kubwa katika mabadiliko ya kimaisha hasa kwa sasa. tatizo mishule ya kata skuizi inabeba hadi vitoto viuni mno ndo mana! je na hao waloichora wacheza mpira na michezo, walikuwa wanafikisha ujumbe wa watu wa olompic au? watoto mambwiga hawa.
 
Itachukua karne moja nzima kuelewa maana.
Elimu ni nini?

Bill Gate aliishia second year University.
Mike Dell second year University.
Steve Jobs wa Apple RIP high school.
Larry King wa CNN high school.

huyu anaitwa mvuta bangi.
Huenda ni yeye anavuta kweli au sisi ndiyo wavutaji sugu.

kweli wewe mvutaji sugu. angalia level aliyoiacha shule bill get,angalia sababu ya kuacha shule bil get, angalia kicha cha billget, angalia elimu aliyokuwa anipata bilget! sasa huyu yeye ameandika huu uchafu umemsaidia nini kugundua vyombo vya mziki au? na alikuwa hana akili ya shule kama angekuwa na akili ya shule asingepoteza muda kuandika takataka hizi! hya sasa uyo jamaa wako kaishia form 4, mpeleke BBC akatangaze habari, aya au mpeleke azindue hata software ya nokia ya tochi tu! acha umbwiga nawewe! mwanafunzi aliyechuo kikuuu wa sasa anaweza akaacha chuo endapo atapata deal kama anaona itamtoa kimaisha na huko baadae ataamua kusoma au lah! lakini huyo mdogo wako wa form 4 kabugi, ni mjinga sana sana.
 
Itachukua karne moja nzima kuelewa maana.
Elimu ni nini?

Bill Gate aliishia second year University.
Mike Dell second year University.
Steve Jobs wa Apple RIP high school.
Larry King wa CNN high school.

huyu anaitwa mvuta bangi.
Huenda ni yeye anavuta kweli au sisi ndiyo wavutaji sugu.
Upo sahihi kaka, ukiangalia watu wanaoishi maisha ya maana duniani hakuna maprofesa, leo hii angalia wanamichezo na wasanii. Elimu yao ya kufungua vitabu na kuandikahaieleweki lakini wanamaisha mazuri sana. Bongo tunahitaji tubadilike. Ukiachia ulaya kwani aliyegundua hii ePesa system anaelimu gani? elimu inatakiwa kutusaidia kukabiliana na mazingira yetu sio ya wengine
 
Itachukua karne moja nzima kuelewa maana.
Elimu ni nini?
Bill Gate aliishia second year University.
Mike Dell second year University.
Steve Jobs wa Apple RIP high school.
Larry King wa CNN high school.
huyu anaitwa mvuta bangi.
Huenda ni yeye anavuta kweli au sisi ndiyo wavutaji sugu.
hili nalo neno,ila angefanya nje ya pepa au asingefanya ndani ya pepa watu watadhanini tu mvuta bangi.
 
Itachukua karne moja nzima kuelewa maana.
Elimu ni nini?

Bill Gate aliishia second year University.
Mike Dell second year University.
Steve Jobs wa Apple RIP high school.
Larry King wa CNN high school.

huyu anaitwa mvuta bangi.
Huenda ni yeye anavuta kweli au sisi ndiyo wavutaji sugu.
Msalagambwe, chenge kasoma mpaka havard university, angalia alivyotutenda, kama wanaendelea kukubishia waalike watutajie ugunduzi wowote uliowahi kufanywa na professor,

kwa kifupi maisha ni zaidi ya kusoma, na aliyegundua "MOTO" the greatest discovery of all times,hakuwahi hata kusikia neno darasa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni kweli hizi shule za kata zinawanafunzi wengine wajabu sana unaweza ukashangaa mwanafunzi anakuja shule kesha vuta bangi sasa hapa kuna mwanaf kweli?Hao wa kike ndio usisemeeeee
 
point alikuwa nazo! tatizo njia aliyoitumia kufikisha point zake ni mbovu! sasa mtu anayesahihisha mtihani yeye anamuda wa kusoma majibu na kusahihisha tu, hana muda wakusoma ujumbe, na kama alitaka kufikisha uo ujumbe kwanini asinge tumia njia kibao tu sasa na watu wangepata ujumbe, adi magazeti ya udaku ya mejaaa skuizi hayana kazi! mtoto mbwiga tu huyo ye muache awafwatishe hao clouds fm ambao hawana elimu wenzake alafu aone kama ajaishia kama wakina mr blue na kuzaa na kuita watoto majina ya waimba nyimbo wenzao huku future ikiwa ina shake! hata usipokuwa na utajiri wa ajabu, ila elimu inanafasi kubwa katika mabadiliko ya kimaisha hasa kwa sasa. tatizo mishule ya kata skuizi inabeba hadi vitoto viuni mno ndo mana! je na hao waloichora wacheza mpira na michezo, walikuwa wanafikisha ujumbe wa watu wa olompic au? watoto mambwiga hawa.
huyu kaanza kujutia upumbavu wake so anaanza kutafuta huruma kwa wananchi.
 
huyu kaanza kujutia upumbavu wake so anaanza kutafuta huruma kwa wananchi.

kumbe umeona eeeh! kanatafuta umaarufu na wale wajinga wajinga wa clouds fm ndo mambo yao haya, aende leo tena akatangaze kipindi basi! alafu tatizo letu watz skuizi tunasaidia watu wasiofaa kuwasaidia na tunawaacha watu wanaofaa kuwasaidia! sasa mtu kama huyu amepata nafasi mpaka anafanya mtihani wa 4, yy ajui kuwa kunawenzake hata iyo elimu ya la7 kuipata ni ishu! na wanaitaka. muhuni tu uyu mtoto, anatafuta njia yakujulikana hapa mjini
 
yani usiombee haya manake angekua hivyi ungeishia kulia mikono kichwani na kuanza kufikiria umtoe vipi. watoto hawa tunazaa ila makuzi yao Mungu atulele kwa kweli.
Inawezekana aisee, maana utamtupia nani na ni uzao wako, uuuuuuwwwwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiii, Mungu atusaidie
 
huyo kijana ilipaswa achukuliwe hatua kali za kinidhamu maana analeta utani kwenye mambo ya msingi... Answer booklet sio sehemu ya kufikishia ujumbe...... hii tabia ni ya kukomesha mapema sana kwa kuchukuliwa hatua kali...... maana mwaka ujao tena vijana watakosa majibu ya kujaza kwenye mitihani halafu wataandika mistari ya bongo fleva , wakiulizwa kwa nini watasema walikuwa wanafikisha ujumbe....
 
Mtoto wa miezi 3 ana faida gani?
Analishwa anavishwa anabebwa haongei haaingizi hata senti tano.

Mwimbaji mweuzi wa Jazz Kule Lousiana USA,
Zamani hizo alipoomba kuimba katika bedni maarufu,
aliambiwa sauti yake ni nzito na ina mikwaruzo haifai,
kwa hiyo hata kaa aimbe maishani mwake.
Naye akawaambia "
Watch me"
Leo hii kila mpiga Jazz anamwona kama SI unit ya Jazz.
In short hujui kila kitu kuhusu huyu jamaa pia,
umesahau kabisa kwamba muziki wa kesho wa Bongo si huu.
ila huo usio uelewa na kuuthamini.
images



images

Acha jnga man!second yr na high school za hao jamaa unacompare na darasa la saba la huyo Mwanamashair,uchwara?!nmeskia nymbo zake,c mwandsh mzur na hajui 'ku-rhyme'
 
Huku USA kila tu ni lazima amalize High School
Hilo ndo Darasa la saba la huku.

Sasa ikitokea Darasa la saba la Marekani anakua na kampuni,
Swano kama Apple wakati watu na PhD za kilimo hawawezi,
kutunza tuta la mchicha?!
Elimu ni nini?

Kuna watu ni Mabingwa wa kushusha Integral lakini hawawezi kuimba,
Wako waimbaji maarufu wengine hata kusoma hawajui.
Kuna wachoraji wa picha kali wasio wahi kusoma hata darasa moja.

Lakini hata hivyo kuna wenye PhD Masters na Digirii moja,
wamejipanga foleni kusubiri ajira.

Elimu ni nini?

Bangi wanavuta watu wengi sana,
wachache ndo huharibikiwa akili,
na huchekwa na kutaniwa na wengi,
wavutao sana bila kuonyesha,
dalili za kudhurika moja kwa moja.

Wewe unadhani siku Bill Gate anaacha shule,
Microsoft ilikuwa kampuni Tayari,
Na yeye alikuwa Bilionea.
Baba na mama yake hawakuafiki hata kidogo.
Kampuni ilianzia kwenye parking ya gari kwenye nyumba ya baba yake.
Mike Dell naye alikuwa akikacha vipindi,
kwenda kutafiti namna ya kuunda kompyuta,
Wazazi wake hawakuafiki hilo.

Enzi zao nao walionekana na kila mtu kaa si nchi nzia wavuta bangi waliochanganyikiwa zaidi, luza wakubwa.




Kama mimi ni mvutaji sugu sioni chochote cha kuzuia wewe kuwa mvutaji sugu pia au hapo baadaye kuja kudata kabisa.

kweli wewe mvutaji sugu. angalia level aliyoiacha shule bill get,angalia sababu ya kuacha shule bil get, angalia kicha cha billget, angalia elimu aliyokuwa anipata bilget! sasa huyu yeye ameandika huu uchafu umemsaidia nini kugundua vyombo vya mziki au? na alikuwa hana akili ya shule kama angekuwa na akili ya shule asingepoteza muda kuandika takataka hizi! hya sasa uyo jamaa wako kaishia form 4, mpeleke BBC akatangaze habari, aya au mpeleke azindue hata software ya nokia ya tochi tu! acha umbwiga nawewe! mwanafunzi aliyechuo kikuuu wa sasa anaweza akaacha chuo endapo atapata deal kama anaona itamtoa kimaisha na huko baadae ataamua kusoma au lah! lakini huyo mdogo wako wa form 4 kabugi, ni mjinga sana sana.
 
I know the story of Bill Gate very well.

Ukiiongea haraka utaiona kama ilikuwa Golden kutoka mwanzo.
In short baba yake Bill Gate hakuafiki uamuzi wa Bill Gate kuaca shule,
Pili it was very very tough kumkovinsi mtu kuhusu hicho unachoita project yake if it was project at all.
Thank God mtu mmoja kule IBM aliona potential ya MS DOS ambayo Bill Gate aliiedit kwenye Desk Top.
Mwandishi original wa MS Dos si Bill Gate yeye aliiedit iweze fanya kazi kwenye Desk Top tu.
Alikuwa na utundu wa kuandika Software, uwezo mkubwa darasani I mnot very much sure.
Hesabau za University zilikuwa zinamwona vizuri sana Bill kiasi cha kukacha kipindi.
Kwenye Integration alikuwa na bado ni mtupu.

In short ni kwamba ile mistari ya Bongo Fleva
kwenye pepa ya kidato,
ndo umekuwa mlango wake wa kuingia,
katika dunia nyingine.

Duniani watu hupata umaarufu kwa,
kufanya ambo makubwa na ya maana au ya kijinga.


kwa ninavyojua mimi, hao walikuwa na uwezo mkubwa sana huko shule, Bill Gates kwa mfano, aliandika project nzuri sana ambayo ilimfanya aache shule na kwenda kuifanya hiyo project, na imemlipa. sasa huyu hajui hata kujibu hata swali moja la f4, unategemea akiacha shule atakuwa nani? si kuvuta bangi tu?
 
Hakuna Pepa ya Kudesaa Life.
Life is how you make it.

ujinga alofanya kwenye Paper ya Form four,
ndo uemfanya hata ahijiwe na vyombo vya habari,

Miaka kadhaa ijayo,
wote tunaweza kushangaa,
jamaa akiibuka na kuwa mwanamuziki mashuhuri.

Bill gate alikuwa akikacha vipindi vya Hesabu First year na second year University.
enzi hizo na hata leo ni uchizi kukacha vipindi shuleni.
Steve Jobs alikuwa akitukana walimu hadi aliwahi kufukuzwa shule.
Dell alikuwa akikacha vipindi temu nzima

Labda kama manabisha bila kujua historia za watu muwaonao maarufu.
Sijui ni mzazi gani duniani anaweza furahia mtoto wake kuacha shule ili,
akafukuzie ndoto
zake?


kaka yupi kat ya hao aliandika mashair kwnye mtihan? Hao tayar walishapat pa kuanzia kujeng maisha yao cyo huyo acyejua ajibu nin kwnye mtihan. Mi naona nikutojua 2 na usela mavi ndo umemtawala. Kwani ukiwa msanii una degree yako utashndw kunata na beat. Kwanz bila shule utaandka nin zaid ya ngono, pombe na supla.
Achukue mfan wa wasanii waliotangulia ambao wana styl kali kama blu ila hawana cha kuandka. Mi naona hana jipya ni utot 2 na ujinga..
 
Back
Top Bottom