Huyu ndio SUGU kama ulikuwa Humjui!!

hivi wakuu sugu ana watu anaofanya nao kazi mfano wa kusoma na ku-edit taarifa zake kabla hazijaingia kwenye public domain?ningependa kujua tu!

Tatizo lako umekalili kingereza cha kwenye daftari la mazoezi.
 
kutoa changamoto tu kwenu,Sugu ameanza harakati za kutetea vijana wazi kupitia muziki na hata mahojiano ktk press kabla ya Mnyika,Zitto,Nape,Bashe n.k! Tusimbeze jamani tuwaenzi ma legendary wetu! Siasa zisitupindue

Hivi wewe ni msemaji wa miss tatuu Jf?
 
Mnaoleta kiingereza kibovu cha Sugu hapa JF mnamuaibisha mwenzenu tu.

...Hebu tuondolee u*%#bavu (ignorance) hapa! wewe uliyesoma kwa kiingereza kimekusaidia nini kama hadi leo bado unaamini kutokujua kiingereza ni AIBU; Kwa hiyo unataka tuamini kuwa kuna mabilioni ya watu duniani wanaishi katika aibu ya kutokujua kiingereza....Ulivyo na uelewa mdogo hujui kuwa lugha inayoongewa na watu wengi duniani sio kiingereza (I challenge you to give your answer without going to google). watu kama wewe ndio mkisikia mtu anaitwa Rashid au Ali mnasema majina ya kiislam au Peter, John majina ya kikrikistu!........jielimishe; ni zaidi ya vyeti vya shule/chuo ulivyonavyo!
 
Mnaoleta kiingereza kibovu cha Sugu hapa JF mnamuaibisha mwenzenu tu.

[h=1]Physicist spots 99-year-old mistake in Oxford English Dictionary[/h] [h=2]An Australian physics lecturer has spotted a 99-year-old mistake in the definition of the word "siphon" in the Oxford English Dictionary (OED).[/h]
dictionary_1633840c.jpg
Photo: PHIL COBURN






Bonnie Malkin in Sydney

10:00AM BST 11 May 2010


Dr Stephen Hughes, from the University of Technology in Brisbane, noticed that the error in the dictionary during research for an article for science teachers.

The OED definition of the word erroneously states that atmospheric pressure makes siphons work, when in fact it is the force of gravity.

Siphons draw fluid from a higher location to a lower one and are often used to remove liquid from containers, such as petrol tanks, that are hard to empty otherwise.

Dr Hughes said he was stunned when he realised that the dictionary had got the definition wrong.

"It is gravity that moves the fluid in a siphon, with the water in the longer downward arm pulling the water up the shorter arm," Dr Hughes said.

"We would all have an issue if the dictionary defined a koala as a species of bear, or a rose as a tulip," he said.
The error was introduced in 1911 and has gone unchallenged ever since.
As soon as he made his discovery, Dr Hughes quickly dispatched a letter to the OED's revision team, who responded saying that they would rectify the mistake in the next edition.
Dr Hughes came across the error after he had visited an enormous siphon in South Australia, which transfers millions of gigalitres from a river system into a depleted lake.
"I thought this example would make a great education paper ... but in my background research I discovered there was much contention about the definition of the word 'siphon'," Dr Hughes said.
"I found that almost every dictionary contained the same misconception that atmospheric pressure, not gravity, pushed liquid through the tube of a siphon."
An OED spokesman said the definition was written in 1911 by "editors who were not scientists" and that Dr Hughes's notes would be taken into account when the entry was rewritten.
Dr Hughes now plans to check dictionaries and encyclopedias in other languages which may have taken their definitions for the word from the OED.
 
Hivi sugu anaitambua nafasi yake ktk jamii?.

Kweli shule ni muhimu.
 
Hivi sugu anaitambua nafasi yake ktk jamii?.

Kweli shule ni muhimu.

Mibongo kwa kukariri tu hamjambo...hivi nyie mmesahau kuwa Sugu ni msanii? Na wapi alisema kuwa akiwa mbunge ataacha music? Mnaboa sana, wivu gani wa kike huo????? Hivi hamwezi pitisha siku bila kumponda mtu hata kama hamna sababu za msingi?

Kama elimu ni kila kitu we imekufanyia nini? Mbona haijakukomboa kifikra na kitabia? Kama bado mpaka leo unashabikia ccm utasimama mbele za watu na kujiona wewe umeelimika??? Aibu kwenu wote wenye kuendeleza chuki na majungu...
 
Sugu bado anasumbuliwa na madhara ya ndumu za utotoni yule. Unajua madhara ya ganja huwa yanakaa miaka 40 kichwani kwahiyo jamaa bado ana miaka 33 zaidi kabla ya kurudia hali yake ya kawaida.
 
Sugu bado anasumbuliwa na madhara ya ndumu za utotoni yule. Unajua madhara ya ganja huwa yanakaa miaka 40 kichwani kwahiyo jamaa bado ana miaka 33 zaidi kabla ya kurudia hali yake ya kawaida.

kwa kosa gani,kujitambulisha ni kosa?wewe ndio unazinguliwa na mibange ya Tarime,mwanakidagara mkubwa we!
 
Sugu bado anasumbuliwa na madhara ya ndumu za utotoni yule. Unajua madhara ya ganja huwa yanakaa miaka 40 kichwani kwahiyo jamaa bado ana miaka 33 zaidi kabla ya kurudia hali yake ya kawaida.

Sugu atawaua kwa presha..
 
Back
Top Bottom