Huyu Ndio JK Bana!!!!!

Safari zote hizi zimelisaidia nini Taifa?
zimesaidia rais wetu kujulikana in world wide mpaka bush kaja na kutupa vyandalua ambavyo pale urafiki wamefunilkia mboga zisiliwe na kuku, kuvulia samaki ambapo linaongeza pato kwa jamii. ahahahah JK oyeeee, waweza kulia ukifikilia sana. mungu atunusulu
 
Nimeupenda utafiti huu. it's scientific. ana mpango wa kupiga picha na mastaa wote duniani kama vile rambo, john cina, david beckam nk. Aliwahi kusema asingesafiri tungekufa njaa!!!!!!!! shame upon him.
 
Nimeupenda utafiti huu. it's scientific. ana mpango wa kupiga picha na mastaa wote duniani kama vile rambo, john cina, david beckam nk. Aliwahi kusema asingesafiri tungekufa njaa!!!!!!!! shame upon him.


hapo red! naunga mkono hoja!
 
Anaumwa mawaya huyo, akisafiri kenda kuflash damu.
Serikali yake yote ni ya VTOMBY watupu wamekwaa miwaya sasa kila siku kiguu na njia nje ya nchi kutibiwa.
 
hadi kufikia, tarehe 01 february 2012, Rais wa sasa wa Tanzania amesafiri mara 322 nje ya nchi. Ukizidisha io idadi ya tripu/safari (322) kwa wastani wa siku 4 kwa kila tripu/safari, utapata jumla ya siku 1288 ukizigawa kwa siku 365/366 (siku za mwaka mmoja) utapata miaka 3.5 (yaan miaka 3 na miezi 6) Rais amekaa nje ya mipaka ya Tanzania. Kwakuwa Rais JK ameingia madarakani mwaka 2005 na had sasa mwaka2012 amekaa madarakani kwa miaka 6. Kwaiyo Rais amekaa nje ya nchi zaidi ya nusu ya muda wake wote aliokaa katika nafasi ya urais(3.5 years out of 6 years).

je Raisi hajavunja rekodi ya kuingizwa katika guiness book of records ya dunia? yan Rais amekaa nje ya nchi yake kuliko marais wote wa dunia? Rais gan amemzidi Raisi wetu?

Je, tumepata jibu la kwanini Rais mara nyingi husaini nyaraka feki kwa sababu ya hukosefu wa muda wa kuzisoma?

GHARAMA!
Safari yake ya mwisho( safari ya 322) ya Davos 25-28 january 2012, iliigharimu serikali Tsh mil. 300, nikiamua kuchukua theluthi mbili ya gharama izo yaan mil 200, kisha nikazidisha kwa idadi ya tripu 322 jumla yake ni 64,400,000,ooo. Mabilioni haya ni mengi sana. Ukizigawa mil 50 ambazo ni bujeti ya kujenga zahanati moja kwa wastani utapata jumla ya zahanati 1288.
Kwakuwa Tanzania ina jumla ya kata 2011, fedha hizi zingetosheleza kuweka zaid ya 60%. Ikumbukwe kuwa Tanzania wanawake wajawazito kati ya 24-36 kwa siku wanakufa kwasababu kadhaa ikiwemo ya kutokuwepo kwa zahanati au ziko mbali
Tafakari mtanzania chukua hatua.

Tukisema JF imepoteza mwelekeo na imekuwa ni jukwaa na majungu na lisilo chambua takwimu kwa umakini mnabisha, haya mnao taka ushahidi juu ya madai ya watu kuhusu JF ushahidi huu hapo kwenye mada hii. Nilitegemea mtoa mada aweke je na kwenye hizo safari kiasi kilipatikana? investment ngapi na za thamani ya kiasi gani ziliwekezwa nchini? wananchi wangapi walipata ajira ? kodi kiasi gani tulikusanya? baada ya hapo ndipo tungetoa maoni yetu.

 
Truely you are a great thinker dada.

Duh, tusione ajabu yoyote kwamba hivi sasa mambo hayaendi kiasi hiki nchini. Kama rais anaweza akaishi nje ya nchi kwa wastani wa miaka 3.5 sasa mtu unategemea kuona kukitokea muujiza gani maendeleo nchini?
Hizo gharama anazo tumia tumeonyeshwa zinaweza kutengeneza zahanati zaidi ya elfu moja, je kweli wandugu huyu mtu Mkuu wa kaya anao huruma na watu wake???? Kama anatumia fedha kiasi hicho ni kwa faida ya nani, kama ni perdiem mbona kaisha pata nyingi saana, hebu tafakarini haya mambo!!!!
 
Wabongo wangu juweni kwamba mtaendelea kulialia tu,maumivu yako palepale hata Jk akiondoka 2015,atakayekuja atasema anahitaji muda kuiweka sawa nchi iliyochakachuliwa na Mbayuwayu. Kwa mtazamo wangu maisha bora tunayo yalilia yapo kuanzia mwaka 2030! Labda.
 
Tukisema JF imepoteza mwelekeo na imekuwa ni jukwaa na majungu na lisilo chambua takwimu kwa umakini mnabisha, haya mnao taka ushahidi juu ya madai ya watu kuhusu JF ushahidi huu hapo kwenye mada hii. Nilitegemea mtoa mada aweke je na kwenye hizo safari kiasi kilipatikana? investment ngapi na za thamani ya kiasi gani ziliwekezwa nchini? wananchi wangapi walipata ajira ? kodi kiasi gani tulikusanya? baada ya hapo ndipo tungetoa maoni yetu.


GB,in short hakuna cha investment wala ajira wala nini faida inayopatikana kutoka ktk safari za Vasco da Gama. Kila kitu kingejionyesha wazi katika maisha ya kawaida ya Wtz. Lakini hebu angalia maisha ya mtaani halafu linganisha na trips za ******
 
GB,in short hakuna cha investment wala ajira wala nini faida inayopatikana kutoka ktk safari za Vasco da Gama. Kila kitu kingejionyesha wazi katika maisha ya kawaida ya Wtz. Lakini hebu angalia maisha ya mtaani halafu linganisha na trips za ******
asanteni kwa majibu mazuri wakuu, kwa mwenzetu huyoo geniusbrain.
unaweza kucompare idadi ya trip na level ya investment na hali ya Tz ilivyo jaman....... duh!
shida tumeshituka wachache basi.
 
Hizo gharama anazo tumia tumeonyeshwa zinaweza kutengeneza zahanati zaidi ya elfu moja, je kweli wandugu huyu mtu Mkuu wa kaya anao huruma na watu wake???? Kama anatumia fedha kiasi hicho ni kwa faida ya nani, kama ni perdiem mbona kaisha pata nyingi saana, hebu tafakarini haya mambo!!!!
asante kwa msaada yaani mwenzetu GB et haoni kama kuna tatizo mmh! kweli tuna kazi kubwa ktk kuyaondoa haya magamba nnh.
 
Tukisema JF imepoteza mwelekeo na imekuwa ni jukwaa na majungu na lisilo chambua takwimu kwa umakini mnabisha, haya mnao taka ushahidi juu ya madai ya watu kuhusu JF ushahidi huu hapo kwenye mada hii. Nilitegemea mtoa mada aweke je na kwenye hizo safari kiasi kilipatikana? investment ngapi na za thamani ya kiasi gani ziliwekezwa nchini? wananchi wangapi walipata ajira ? kodi kiasi gani tulikusanya? baada ya hapo ndipo tungetoa maoni yetu.

Wewe ndio umepoteza mwelekeo, maoni na mawazo yanayotolewa na JF wewe huyaoni!!!!! Boss wako akiwa bwana safari hutaki asemwe????? Na leo nasikia hayupo kasafiri!!!!!

 
Tukisema JF imepoteza mwelekeo na imekuwa ni jukwaa na majungu na lisilo chambua takwimu kwa umakini mnabisha, haya mnao taka ushahidi juu ya madai ya watu kuhusu JF ushahidi huu hapo kwenye mada hii.

Nilitegemea mtoa mada aweke je na kwenye hizo safari kiasi kilipatikana? investment ngapi na za thamani ya kiasi gani ziliwekezwa nchini? wananchi wangapi walipata ajira ? kodi kiasi gani tulikusanya? baada ya hapo ndipo tungetoa maoni yetu.
Kweli nimeamini wewe ni Zero Brain, huko Mkuu wa kaya anako kwenda si tunao mabarozi akiwatuma hawawezi kufanya lile analotaka shuruti aende yeye???? Je muda anaopopteza kusafiri kazi zake za ofisi anafanya nani????

Unajua kuwa alipokwenda London na Bwana Karamagi mkataba wa Buzwagi ndipo uliposainiwa, watu walipiga kelele lakini wapi, watu wamehamishwa Buzwagi wanaishi kama wakimbizi dhahabu mikuo inachimbwa kwa kwenda mbele!!!!

Hizo ni faida tuu za safari za Mheshimiwa GB upo???? Bila shaka wewe una maslahi binafsi kwa mautetezi yako hapa!!!!
 
Tukisema JF imepoteza mwelekeo na imekuwa ni jukwaa na majungu na lisilo chambua takwimu kwa umakini mnabisha, haya mnao taka ushahidi juu ya madai ya watu kuhusu JF ushahidi huu hapo kwenye mada hii.

Nilitegemea mtoa mada aweke je na kwenye hizo safari kiasi kilipatikana? investment ngapi na za thamani ya kiasi gani ziliwekezwa nchini? wananchi wangapi walipata ajira ? kodi kiasi gani tulikusanya? baada ya hapo ndipo tungetoa maoni yetu.
GB, someone up there gave you a nice name - 'Zero Brain', I support!
It seems the more you look is the less you see, or rather the more you listen us the less you hear! Obsesd up there gave us the raw data / statistics which I know if someone takes a further investigative stance could come up with a more absurd report - implicating the state house.

What kind of investment are you talking about? Where's the employment opportunities you seem to be dreaming of? What type of TAX are talking about? (I hear investors are always given TAX HOLIDAYS, when these holidays elapse, their businesses get liquidated also and another business name crops up). May be you'd en light on me what made Sheraton to become Royal Palm, from Royal palm we saw Movenpick (people ridiculed it as move in an pick).

Movenpick turned to be Serena. Is this a modern way of doing business? It is not, otherwise Pepsicola, Cocacola, adidas, and many other names would have changed many times.

 
Dah watanzaia wenzangu jamaa anatufilosi kwa anasa zake,
angalia tu maisha ya kawaida utajua tu kwamba jamaa anapoteza zaidi kuliko anachotumia,
walimu wapya hapa tangajiji baadala TAMISEMI kutuma milion 61, wametuma milion 27 tu kwa ajili ya hela ya walim, huku wakisema pesa hakuna,
 

GB, someone up there gave you a nice name - 'Zero Brain', I support!
It seems the more you look is the less you see, or rather the more you listen us the less you hear! Obsesd up there gave us the raw data / statistics which I know if someone takes a further investigative stance could come up with a more absurd report - implicating the state house.
What kind of investment are you talking about? Where's the employment opportunities you seem to be dreaming of? What type of TAX are talking about? (I hear investors are always given TAX HOLIDAYS, when these holidays elapse, their businesses get liquidated also and another business name crops up). May be you'd en light on me what made Sheraton to become Royal Palm, from Royal palm we saw Movenpick (people ridiculed it as move in an pick). Movenpick turned to be Serena. Is this a modern way of doing business? It is not, otherwise Pepsicola, Cocacola, adidas, and many other names would have changed many times.


ouch! shukrani mkuu!
 
Back
Top Bottom