Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Unajua mapenzi sio lazima mpaka ufike nyumban upewe maji ya moto la haasha kuna wengine tuna mapenzi na bunge letu
na kila siku tunatamani kuona mungu wakifanya kitu fulan kwa ajili ya taifa
pengine utakuwa unasubru taarifa ya habari kuona upuuzi aliofanya mwnyekiti wa leo akikaimu sspika wetu yaanio leo
pamoja na binti kiroboto kuwa na matatizo yake kwa kweli leo hii nimemkumbuka sana sana yule bibi kama si kuwa na akili
wasingeruhusu ujinga uliotokea leo na kufanya sasa watoto kukataa kwenda shule wakitaka kuangalia leo kichekesho gani kinatokea bungeni.....
Ndugu zangu huyu bana mnaemwina yaani huyu ndie alichafua kabisa hewa afadhali ya wengine ila kama nilivyosema tunalaumu ila ni vyema tukaomba elimu zao wengi wameingia kuptia wagnga hapo dodoma na ndio maana leo hii wamemfanya hata mama yetu rwakatare kuwa kimya sababu majini yao ni maakali na mama anafikiria kuaribu ajira aakiongea against
ndugu yangu deo usitafute umaarufu utaaibika uliza hao bikira waliochaguliwa walivyokuja na kasi na leo hiio hata kuongea awaonge tenaaaa soma nyakati kaka yangu utakuja juta
na kila siku tunatamani kuona mungu wakifanya kitu fulan kwa ajili ya taifa
pengine utakuwa unasubru taarifa ya habari kuona upuuzi aliofanya mwnyekiti wa leo akikaimu sspika wetu yaanio leo
pamoja na binti kiroboto kuwa na matatizo yake kwa kweli leo hii nimemkumbuka sana sana yule bibi kama si kuwa na akili
wasingeruhusu ujinga uliotokea leo na kufanya sasa watoto kukataa kwenda shule wakitaka kuangalia leo kichekesho gani kinatokea bungeni.....
Ndugu zangu huyu bana mnaemwina yaani huyu ndie alichafua kabisa hewa afadhali ya wengine ila kama nilivyosema tunalaumu ila ni vyema tukaomba elimu zao wengi wameingia kuptia wagnga hapo dodoma na ndio maana leo hii wamemfanya hata mama yetu rwakatare kuwa kimya sababu majini yao ni maakali na mama anafikiria kuaribu ajira aakiongea against
ndugu yangu deo usitafute umaarufu utaaibika uliza hao bikira waliochaguliwa walivyokuja na kasi na leo hiio hata kuongea awaonge tenaaaa soma nyakati kaka yangu utakuja juta