Sielewi unamaana gani kulinganisha Dini na Mambo ya Dunia,DK Slaa ni binadamu kama wengine,swala la Totoz na Slaa wapi na wapi ?DK slaa si wa kuchezewa Ni Msomi wa kiwango cha juu,Hakurupuki kwenye maamuzi, ni Mtafiti mzoefu na uhakika na anacho kisema Watanzania tulimwitaji sana Huyo mtu atuongoze alete mabadiliko tofauti na sasa wameshika nchi wababaishaji,ndiyo maana na sema sikuelewi labda umetumwa sisi tuna taka ubongo wa DK Slaa si mambo yake binafsi, kumbuka ukijenga nyumba ya vioo usitupe jiwe