mkulimamwema
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 153
- 18
Haaaaaaaaaaaaah nimeipenda kweli ila kusema mzee ni golila unity tunakufuru uumbaji wa mwenyezi yeye ni handsome kwa wengine
anatengenezeka bana huoni kwenye picha hapo ameshave nywele kileo kabisa kapitisha na super black kidogo si ndio maana mtani wake amekolea??Hapo katabasamu? Au! Hatengenezeki huyu babu, Khaa!!