watoto wote wa age hiyo wa kike na wa kiume ufanya hivyo, pia wewe angalia chupi ya huyo mtoto ni ya heshima kuliko na ndio maana amevishwa hiyo wakijua atafanya hivyo! Hiyo ni kumbukumbu tu! Inaonekana hauna mtoto au watoto au kama unao basi haujawalea kwa karibu!!
Watoto wana michezo ya ajabu ajabu ambayo mtu mziwa huiwezi, hivyo mzazi kaona awe anachukua kwa ajili ya kumbukumbu akikua atamuonyesha vituko vyake! Inapendeza na ni kawaida tu! Sema Ndallo ana mawazo machafu machafu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.