Ingawa wengi wetu tumefkiria katika kona nyingine kwa mazo yangu hakuwa anampiga picha kwa sababu amekaa mkao huo ila kwa sababu kama mtoto amefanya kituko ambacho is fun to him na huyo daughter!! ukielekeza mawazo huko basi wewe ndo unatatizo!!
Wwe uliyeweka hii picha ndo tukuulize vipi jamani... maana hisia zako ziko tofauti na matarijio ya wengi.... Nahisi kama ni kuzaa au kulea bado hujabahatika....:rain:
Kwani wewe umeona nini hapo?wacha fikra mgando na potofu mkuu! Huna mtoto wewe?hata kama siyo wako,this is just a funny,so nini kinachokushangaza mzee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.