ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Me nadhan anafikiri mambo yangu mazuri coz cku tumefahamiana nlipata ajali na gari nliyoazimwa na b,frind wangu ntumie kwa cku moja labda ndivyo anavyoniona..
kheee kumbe una jemba yako halafu unaumia fanya hii kitu nenda nae kwa bf wako iliumchoshe vingine utakuja hapa jamvini kuomba ushauri kila siku..