Sikiliza kaka, kwa mujibu wa maelezo yako ni kwamb unampenda na una future naye,
sasa kinachokufanya ukasirike akishika simu yako ni nini? au una wanawake wengine kwa hiyoo unaogopa atajua na wewe hujui bado unataka nini kwake,
inaonyesha kuna mambo ya siri unafanya na akijua yatamuumiza ndo maana unakataa asishike simu yako, eti uweke password ya nini, huo ni ubinafsi kutotaka kumshirikisha mwenzako mambo yako.
Sasa kama humwamini kwa kushika tu simu mkioana itakuwaje,
au wewe ndo ile design ya wanaume changu changu, vitu vyangu umimi.
acha hizo kama unampenda mshirikishe kwenye mambo yako yote hata kama ni mabaya ajue jinsi ya kukushauri na kukusaidia ilki uyaache.
sasa kinachokufanya ukasirike akishika simu yako ni nini? au una wanawake wengine kwa hiyoo unaogopa atajua na wewe hujui bado unataka nini kwake,
inaonyesha kuna mambo ya siri unafanya na akijua yatamuumiza ndo maana unakataa asishike simu yako, eti uweke password ya nini, huo ni ubinafsi kutotaka kumshirikisha mwenzako mambo yako.
Sasa kama humwamini kwa kushika tu simu mkioana itakuwaje,
au wewe ndo ile design ya wanaume changu changu, vitu vyangu umimi.
acha hizo kama unampenda mshirikishe kwenye mambo yako yote hata kama ni mabaya ajue jinsi ya kukushauri na kukusaidia ilki uyaache.