Huyu Muhishimiwa Dkt. Mohammed Gharib Bilal anacho fanya ni sahihi?

jamaii hizoo kazi ni utalii tosha, mwacheni ajimwage na hao akina mama maana wakikaa tu nyumbani wataanzia NGO bure, tuanza tena maneno
 
Wewe una undugu naye nini? kwangu mimi naona huo ni upuuzi tu, umetolea mfano Jacob Zuma, siyo kweli kila safari zake anaonekana kuambatana na hao wake zake bana, mimi sina tatizo kwamba ana wake wangapi, ila nataka kufahamu kunaulazima gani unapokuwa katika safari za kikazi kila mara kuongozana na mkewe? huo ni mzigo usio wa lazima kwa Serikali. View attachment 46276
Si mnaona wenyewe hapo? hiyo ilikuwa safari ya siku kadhaa mkoani Tanga na kabla ya hapo alikuwa Lindi pia na hizo "MBAVU ZAKE"

Ndio na undugu nae basi usiwe na wasiwasi kuna safari ya Marekani mwezi ujao tamwambia akuchukuwe wewe mwende wote sawa...naona unaona wivu sana.
 
Ndio na undugu nae basi usiwe na wasiwasi kuna safari ya Marekani mwezi ujao tamwambia akuchukuwe wewe mwende wote sawa...naona unaona wivu sana.
sio kwamba watu wanaona wivu banaa ...tatizo wanatafuna pesa za walipa kodi bila sababu ...trip ni nini bana hovyooo.
 
Ulitaka akuchukue wewe, utamsaidia shughuli za usiku??

Acha kufikiri matope

Tumia akili, wewe kama mwananchi una haki ya kimsingi kufuatilia kodi yako inavyotumiwa na serikali, ngoja nikupe mfano, Waziri mkuu ni mara chache sana kumuona akiambatana na mkewe kila mara kwenye safari zake za kikazi, na hata kama watakuwa wameambatana pamoja hutowaona wako pamoja katika maswala yake ya kikazi, mimi ninavyofahamu mimi siyo vibaya kiongozi kuambata na mke ama wake zake katika shughuri kama maadhimisho ya kitu furani ama tafrija fulani lakini siyo katika maswala ya GOVERNMENTAL ENGAGEMENTS, huu ni mzigo usio wa lazima kwa serikali.
 
hii siyo issue ya wivu, jaribu kuelewa uchumi ni nini kwanza...anzia na mfano mdogo...mapato na matumizi baada ya hapo utaona ni jinsi gani kodi yako inavyotumika vibaya kwa mambo kama haya ambayo hayana maana. Serikali inapata wapi hela? wewe na mimi ni walipa kodi na bila kodi hakuna nchi yoyote duniani inaweza kuendesha mambo yake. Kodi inayopatikana inaenda kwenye matumizi ya serikali ikiwamo elimu, barabara n.k. kama leo government spending inaenda kwenye matumizi mabaya kama ya Bilal, safari za raisi 200+, posho kubwa n.k. unafikiri hali ya maisha itakuwaje? watashindwa kulipa madaktari, walimu na mwishowe uchumi utaanguka na ukichukulia hatuna exports za kutosha na kuendekeza madeni ya nje tumeisha.
 
​Nimefuatilia sana safari za huyu Muhishimiwa Makamu wa kwanza wa Rais Dr. Mohammed Gharib Bilal anapokuwa kwenye safari za kikazi hapa nchini ama nchi za nje kila wakati lazima aambatane na eitha mke ama wake zake wote, ninajua wazi lazima gharama zote zitakuwa zinagharimiwa na kodi za wananchi, je hii ni sahihi? kuna ulazima gani kuambatana na wake zake kila mahala anapokuwa kazini? mbona hata viongozi wa mataifa tajiri huwa hawafanyi hivi, hii kitu huwa inanikera sana, mara nyingi kila ukiona picha za huyo muhishimiwa lazima utaona na picha za mke ama wake zake wote pia, narudia kuuliza, HII NI SAHIHI WAUNGWANA?

Lakini mzee, unaweza kututhibitishia kuwa kweli safari zote anaambatana na mkewe? Hili la kuambatana na wake zake naona km unataka tu kuwatia hasira wana jamii bila ukweli wwte, mi cjawai kumuona eapoti akiruka na wake zake, ongea tu ukweli mazee, gharama mi sizioni, km ni ndege hotel c anatumia vilivyoandaliwa kwa Mhe? Juzi kaja mwana mfalme na mkewe wa UK,
 
hii siyo issue ya wivu, jaribu kuelewa uchumi ni nini kwanza...anzia na mfano mdogo...mapato na matumizi baada ya hapo utaona ni jinsi gani kodi yako inavyotumika vibaya kwa mambo kama haya ambayo hayana maana. Serikali inapata wapi hela? wewe na mimi ni walipa kodi na bila kodi hakuna nchi yoyote duniani inaweza kuendesha mambo yake. Kodi inayopatikana inaenda kwenye matumizi ya serikali ikiwamo elimu, barabara n.k. kama leo government spending inaenda kwenye matumizi mabaya kama ya Bilal, safari za raisi 200+, posho kubwa n.k. unafikiri hali ya maisha itakuwaje? watashindwa kulipa madaktari, walimu na mwishowe uchumi utaanguka na ukichukulia hatuna exports za kutosha na kuendekeza madeni ya nje tumeisha.

Very GOOD POINT! huu ndio mtazamo wa mwananchi mwenye akili na busara, wengine wakisha kula na kuvimbiwa dona lao wanakuwa hata mawazo hawana.
 
PW Botha, kwenye speech yake ya 1984, aliongelea kuwa wanaume weusi wanapenda wanawake wengi. Huu ni mfano hai.
 
​nimefuatilia sana safari za huyu muhishimiwa makamu wa kwanza wa rais dr. Mohammed gharib bilal anapokuwa kwenye safari za kikazi hapa nchini ama nchi za nje kila wakati lazima aambatane na eitha mke ama wake zake wote, ninajua wazi lazima gharama zote zitakuwa zinagharimiwa na kodi za wananchi, je hii ni sahihi? Kuna ulazima gani kuambatana na wake zake kila mahala anapokuwa kazini? Mbona hata viongozi wa mataifa tajiri huwa hawafanyi hivi, hii kitu huwa inanikera sana, mara nyingi kila ukiona picha za huyo muhishimiwa lazima utaona na picha za mke ama wake zake wote pia, narudia kuuliza, hii ni sahihi waungwana?

huyu babu naye na wake zake kwa safari za ndani! Hata jk wetu hamfikiiiiiiiiiiii.
 
.... Kama ulisoma accounting kidogo utakua unajua materiality principle... Tutolee macho mambo ya msingi,yenye real cost kwa nchi... Mikataba mibovu, ufisadi na kadhalika... Hayo mambo ya mtu na wakezake sio chanzo cha umasikini wetu..... Unaruhusiwa kukosoa....
 
mbaya na kinachoniuma zaidi ni kwamba yeye na wake zake si watanganyika,ni wanzazibar,na hizo pesa anazotumia nyingi ni kodi za watanganyika.
 
.... Kama ulisoma accounting kidogo utakua unajua materiality principle... Tutolee macho mambo ya msingi,yenye real cost kwa nchi... Mikataba mibovu, ufisadi na kadhalika... Hayo mambo ya mtu na wakezake sio chanzo cha umasikini wetu..... Unaruhusiwa kukosoa....

Mkuu huko ni mbali sana, kwanza tulitakiwa tuanze kumanage hiki kidogo tulichonacho, tukifaulu tutafute zaidi,
Kwenye maisha ukishindwa kujua income na expenditure yako utakuwa ni uwazimu mtupu.
Mpaka sasa viongozi wetu wanamatumizi yaliyopitiliza tunachokikusanya.

Hata tuboreshe vipi hii mikataba ya madini na takataka nyingine hatutabadilisha matumizi yetu serikalini itakuwa nai sawa na kujaza maji kwenye gunia sijui litajaa lini.

chukulia mf wa posho ilianza wabunge tu sasa madactari then nani tena atadai zaidi.......

TAFAKARI..... JUA HAKUNA UPUUZI MTUPU.....CHUKUA HATUA
Ni hayo tu
 
Ulitaka akuchukue wewe, utamsaidia shughuli za usiku??

Acha kufikiri matope

Hebu tuambie wewe na watumishi wengine serikalini mkisafiri kikazi huwa mnaambatana na wake zenu? Kama jibu ni ndio, je gharama za wake zenu hugharamiwa na nani? Na kama hamambatani nao shughuli za usiku nani huwasaidia? Sasa waweza kujua nani anafikiri MATOPE.
 
Mkuu huko ni mbali sana, kwanza tulitakiwa tuanze kumanage hiki kidogo tulichonacho, tukifaulu tutafute zaidi,
Kwenye maisha ukishindwa kujua income na expenditure yako utakuwa ni uwazimu mtupu.
Mpaka sasa viongozi wetu wanamatumizi yaliyopitiliza tunachokikusanya.

Hata tuboreshe vipi hii mikataba ya madini na takataka nyingine hatutabadilisha matumizi yetu serikalini itakuwa nai sawa na kujaza maji kwenye gunia sijui litajaa lini.

chukulia mf wa posho ilianza wabunge tu sasa madactari then nani tena atadai zaidi.......

TAFAKARI..... JUA HAKUNA UPUUZI MTUPU.....CHUKUA HATUA
Ni hayo tu

Another Very GOOD POINT! Naungana na wewe kabisa kwa mchango wako, hawa viongozi wanafuja sana pesa za serikali, wanaitwisha serikali mizigo mikubwa isiyo na ulazima.
 
Hebu tuambie wewe na watumishi wengine serikalini mkisafiri kikazi huwa mnaambatana na wake zenu? Kama jibu ni ndio, je gharama za wake zenu hugharamiwa na nani? Na kama hamambatani nao shughuli za usiku nani huwasaidia? Sasa waweza kujua nani anafikiri MATOPE.

Totally agree with you!!!
 
IMO, Kusafiri nao sio shida,.lakini ni lazima wawepo kwenye shuguli zake za serikali? Si wakae huko mahotelini au kwenye swimming pool waki-sip cocktails....lol.

Na hii tabia ya kuonyesha wa-tz na ulimwengu mzima eti una wake wawili inasaidia nini? Au tuseme mzee ana nguvu za ziada?:A S embarassed:
 
Back
Top Bottom