Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Hiki kitu nimekikubali. Ongera pia kwa anachokitunza. Mimi hoi kabisa
Katiba mpya naomba sheria za ndoa za mikataba iwepo ili tuwe na uwezo wa kuachiana majukumu.
View attachment 25808
Ama kweli aliesema "beauty is in the eye of the beholder" hajakosea. Sijui nini ulichokiona hapo kikakukuna, Nywele za maiti. Nido ime-babataa, kishuzi mabujebuje wala si cha maana, meno ndio hivyo tena, yana ukungu. Ajabu![/QUOTE]
Kheee! Kaka ushidwe na ulegee. Acha wivu, mwenzako kesha wai hivyoo! Kama ulifukuzia 7 years na kutoswa. Is up to you. Umenisomaa!
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Hiki kitu nimekikubali. Ongera pia kwa anachokitunza. Mimi hoi kabisa
Katiba mpya naomba sheria za ndoa za mikataba iwepo ili tuwe na uwezo wa kuachiana majukumu.
View attachment 25808
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Hiki kitu nimekikubali. Ongera pia kwa anachokitunza. Mimi hoi kabisa
Katiba mpya naomba sheria za ndoa za mikataba iwepo ili tuwe na uwezo wa kuachiana majukumu.
View attachment 25808
Ni Astaghfurulla,halafu huyo ni Shamim a.k.a Zeze ni mke wa mtu na kajifungua hivi karibuni na hapo hujayaona macho yake vizuri ungezimia kabisaa,kama anavosema 20 % Tamaa mbaya.
Ni kweli nilikosea wamefanana kwa mbali na niliangalia kwa haraka.BESTA umependeza sana all the best kwa maisha ya ndoa.....
unayesema huyu ni shamim umekosea ni mtu tofauti
Samahani wakuu nilikosea na nimeifuta post.mhh shamim gani huyo jamani??? we nawe ndo wataka kujifanya wamjua sana shamim