Jamii forum mmmh sasa hapa hata nashindwa nikuambie nn. Wewe mtu mmekubaliana mkutane hapo alafu unamkuta na mtu mwingine, labda alikuwa anakuonyesha hakutaki kiutu uzima, na ww unataka ushauri. Wakati mwingine tutalazimika tuwe tunauliza umri wa waomba ushauri.
Unajua wivu unaweza kumfanya mtu aone kama hakuchangamkiwa
inawezekana alikuwa katika hali ya kawaida tu we ukaona kama kakuchunia
mi nashauri kama una mpango nae ongea naye tu, huyo Njemba walikuwa
na mipango ya kibiashara tu.
wewe hakuna tusi linalokufaa.. Matusi yote duniani hayakutoshi MSx§nfhfbhfdbnn..nge mkubwa kabisa .unaleta upuuzi wa kujaza saver hapa . Ala. Utaliwa kiboga wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.