Huyu Mpumbavu anaweza akasababisha maafa makubwa sana

Mkuu X-PASTER lakini kutafuta riziki yake kunaweza kabisa kusababisha maafa makubwa kwa mamia kama siyo maelfu ya Watanzania. Fikiria jinsi Dar kulivyo na foleni kubwa za magari halafu hili gari lilipuke na huku lina mzigo mkubwa wa mafuta si kitakuwa kilio cha kusaga meno? Si vibaya kutafuta riziki lakini tufanye hivyo katia njia ambazo hazihatarishi maisha ya Watanzania wenzetu.


BUBU, mwaka huu utasema walahi, hiyo bold hiyo, Sio tanzania, Survival of the fittest elimination of the weakest. Vishoka no qualification ana connect umeme, contractor no registration anajenga ghorofa, dereva wa daladala no driving licence anapuyanga nayo, muuza mafuta not controlled anachakachua and the list goes on left right centre up and down.
 
BUBU, mwaka huu utasema walahi, hiyo bold hiyo, Sio tanzania, Survival of the fittest elimination of the weakest. Vishoka no qualification ana connect umeme, contractor no registration anajenga ghorofa, dereva wa daladala no driving licence anapuyanga nayo, muuza mafuta not controlled anachakachua and the list goes on left right centre up and down.

Mkuu Ng'ambo Ngali yote haya yanasababishwa na Viongozi wabovu ambao badala ya kulinda maslahi ya Watanzania wapo madarakani kulinda maslahi yao na kutimiza uroho wao wa utajiri wa haraka haraka bila kujali maslahi ya nchi.
 
Tusiwalaumu sana wapo katika kutafuta riziki zao.

riziki gani ya kishenzi namna hii

kuna siku mto---------to wako atafanya umalaya na utasema hivi!!!!!!!

au hujala? au kuna kitu kimekufurahisha sana? maana ukiwa na njaa au furaha kupita kiasi ndo unakuta mtu unaongea vitu vya kijinga sana.
 
Mkuu Ng'ambo Ngali yote haya yanasababishwa na Viongozi wabovu ambao badala ya kulinda maslahi ya Watanzania wapo madarakani kulinda maslahi yao na kutimiza uroho wao wa utajiri wa haraka haraka bila kujali maslahi ya nchi.

Bubu, umenena, hatuna viongozi, kwa vile hawajui kwa nini wako madarakani basi kila kitu kinaenda vurugu mechi tu. Pili na sisi hatuna ustaarabu hivyo mpaka kiongozi aseme ndio tuone kuwa sio sawa kufanya afanyavyo huyo bwana? Haiingii akilini vitu vidogo vidogo ndo ukiviaccumulate vinaleteleza matatizo tuliyonayo ya kisiasa, kijamii na kiuchumi. Hivyo kijana kama huyo unadhani amejiandikisha kama ndio atashindwa kweli kituo voters ID yake kwa shs 2,000/=.

Fikiria kama hao wako wangapi na wote wana mentallity ya namna hiyo, tutatfika kweli.
 
Kwa waliowahi kuona tanker linalipuka kijiko 1 cha petrol kama ninavyohisi kwa kuiona hapo kinatosha. Lakini hawa wanaojichukulia hii petrol naona wao wanajiona ni bora kuliko kuwa kibaka-utakufa mara moja,ukiwa jambazi hiyo ndio hatari kabisa,ukisema usubiri ajira-ndio hivyo ngwe imeisha watu wameingia kilimo bora. Ukisema ukaombe barabarani-utakufa na njaa. Huku wanaona mafisadi tumezidi kila mtu na sehemu yake basi kijana kaona bora akajaribishe hapa.

La kushangaza nilimuona ambaye alikuwa anavuta mafuta hivyo na huku anavuta sigara mdomoni-ilibidi niliache Lorry umbali mrefu-hii dunia wenye nacho ndio wanaogopa kufa haraka na wanakufa kweli na wasionacho leo na kesho kwake sawa tu!
 
riziki gani ya kishenzi namna hii

kuna siku mto---------to wako atafanya umalaya na utasema hivi!!!!!!!

au hujala?
au kuna kitu kimekufurahisha sana? maana ukiwa na njaa au furaha kupita kiasi ndo unakuta mtu unaongea vitu vya kijinga sana.


Mkuu Edson,mbona nahisi kama umetumia nguvu za maneno kupita kiasi?au mm nina mzuka?angalia hizo in red,I can smell some :A S-danger:
 
Mkuu X-PASTER lakini kutafuta riziki yake kunaweza kabisa kusababisha maafa makubwa kwa mamia kama siyo maelfu ya Watanzania. Fikiria jinsi Dar kulivyo na foleni kubwa za magari halafu hili gari lilipuke na huku lina mzigo mkubwa wa mafuta si kitakuwa kilio cha kusaga meno? Si vibaya kutafuta riziki lakini tufanye hivyo katika njia ambazo hazihatarishi maisha ya Watanzania wenzetu.

Mkuu BAK nakubaliana na wewe sana tu, ila matatizo yanapozidi hata haramu ugeuka kuwa halali...! Hawa vijana wanatakiwa wapatiwe misaada ya jinsi ya kujikwamua kiuchumi, jukumu ambalo ni la serikali. Lakini serikali imeshajitoa kwenye jukumu ilo... Sasa wafanyeje na wao ni binadamu kama mimi na wewe... Nao wanaitaji kuishi.
 
Nimesoma comments za wengi naona hawajui kuwa suala hili kwa sasa wala si ajabu kabisa hapa Dar.

Kwa wale ambao hamjazoea hali hii, mimi mwanzoni nilikuwa nakosa amani hasa nikiwa naendesha jirani na lori ambalo vijana hawa wanafungua kuchukua mafuta. Ajabu siku moja kijana anafanya hivyo kwenye mataa ya TAZARA na askari yuko pembeni anamwona na wala hachukui hatua yoyote. Dereva wa lori la mafuta akaamua kumwadhibu kijana huyo kwa kuongeza speed na kisha kukanyaga breki ghafla (hakukuwa na gari nyuma) na jamaa akaanguka mafuta yakamwagika.

Hii inatudhalilisha sana kama taifa, hali hii ipo junctions zote za barabara ya Mandela. Nadhani ni mpaka itokee kulipuka kwa lori la mafuta na kusababisha maafa makubwa, iundwe tume ya kuchunguza chanzo (wastage of resources) na kisha ndio tuanze kuweka askari wa kudhibiti vijana hawa (ulaji) ili kulinda heshima ya taifa hili.

Inatuchafulia sana hasa ukiwa na mgeni na akaona kijana akining'inia kwenye gari kuiba mafuta kwa viroba; inaudhi na inakufanya mtu upate hasira sana.

Upuuzi huu hauna tofauti na ule wa kukwapua vioo vya pembeni vya magari na mtu akaondoka akitembea (kwakuwa anajua hutozima gari kirahisi na kuanza kumkimbiza maana mataa yasharuhusu).

Dar es Salaam si salama tena
 
Ubungoubungo:picha iyo uwa naipenda sana (ambayo ni avatar yako)

ila maisha ndo yanafanya mtu ufanye vitu kama ivi ili uishi,kuliko kuwa jambazi!!
ss wafenyeje?maisha ni kasheshe jamani

Ni kweli mkuu. Hawa vijana wanajuwa kabisa hatari ya kazi hiyo wanayoifanya. Hawana tofauti na jambazi anayebeba bunduki kwenda kuvamia mahali ambapo anakuwa tayari kuua au yeye kuuawa. Hawa vijana walishakata tamaa ya maisha, wanaona heri wafanye hicho ili wapate kula na ikitokea kufa basi afe na hata kama atasababisha maafa kwa wengine yeye hajali.

Serikali inahitaji kuboresha uchumi na hawa vijana wasaidiwe kuwa na kazi zao za halali za kujipatia kipato ili waache hii kazi ya hatari.
 
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD vAlign=top align=middle>
06_10_w9h4u7.jpg
</TD></TR><TR><TD class=kaziBody vAlign=top align=left>Kijana huyu akihatarisha maisha yake kwa kukinga mafuta kutoka kwenye tenki la gari hili likiwa linatembea katika barabara ya Nyerere Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).</TD></TR></TBODY></TABLE>

DESPARATE.DESPARATE.DESPARATE PERSON.ukiwa na watu hivi kwenye society usishangae kuona haya na mengineyo.
 
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD vAlign=top align=middle>
06_10_w9h4u7.jpg
</TD></TR><TR><TD class=kaziBody vAlign=top align=left>Kijana huyu akihatarisha maisha yake kwa kukinga mafuta kutoka kwenye tenki la gari hili likiwa linatembea katika barabara ya Nyerere Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).</TD></TR></TBODY></TABLE>

hii si ndo miongoni mwa zile ajira milioni 1 alizoaahidi mheshimiwa rais aliyeteuliwa na mungu
 
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD vAlign=top align=middle>
06_10_w9h4u7.jpg
</TD></TR><TR><TD class=kaziBody vAlign=top align=left>Kijana huyu akihatarisha maisha yake kwa kukinga mafuta kutoka kwenye tenki la gari hili likiwa linatembea katika barabara ya Nyerere Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).</TD></TR></TBODY></TABLE>
Hawafanyi hivyo kwa kutafuta pesa za kwenda kununua viwalo au bia ila nizakupeleka mkono kinywani.Hivi viongozi wetu kabla ya kupasisha Twin towers,Ndege ya Raisi,Ukarabati wa ukumbi wa bunge,safari za nje zisizokuwa na tija, kagoda.....wanakuwa awajaona vitu kama hivi?
 
DR Congo oil tanker blaze 'kills 220'

Page last updated at 11:05 GMT, Saturday, 3 July 2010 12:05 UK


_48243726_drc_bukavutwo_0307.cmp.gif

At least 220 people are feared dead after an oil tanker exploded and set fire to parts of a village in the Democratic Republic of Congo.
The truck, travelling from Tanzania, overturned in the village of Sange near the country's eastern border.

The fuel oil spread through the village before exploding, AFP news agency said.
Scores more people are believed injured. The UN has corrected its earlier report that five peacekeepers had died and now says none were killed.
Accidents involving tankers which catch fire are not uncommon in the region, and the death toll is often high because people try to collect spilled fuel.
FUEL TANKER TRAGEDIES


  • October 2009: At least 70 people burnt to death when tanker explodes in Anambra state, Nigeria, setting fire to minibuses
  • November 2008: Tanker overturns and explodes in Ghana, killing at least 22 as people scoop up fuel
  • August 2008: Similar incident kills dozens of villagers in explosion in northern Cameroon
  • January 2008: Dozens of people reported dead as tanker explodes near Port Harcourt, Nigeria
  • March 2007: Up to 100 dead in blast after trying to collect fuel from broken-down tanker in Nigeria's Kaduna State
Vincent Kabanga, spokesman for the South Kivu regional government, said: "A tanker truck coming from Tanzania overturned in the village of Sange.
"There was a crush [of people] and a petrol leak, there was an explosion of fuel oil which spread through the village."
The village is about 70km (40 miles) south of the town of Bukavu in South Kivu, close to the border with Burundi.
'Excessive speed' Earlier reports said the number of dead could be as high as 270.
James Reynolds of the International Committee of the Red Cross (ICRC) said the toll "was likely to rise". More than 100 people were injured, he added.
The ICRC is taking medicine and body bags to the village, and preparing to fly the wounded to hospital by helicopter.
Mr Reynolds, deputy head of the ICRC delegation in the area, said: "It is a small village. When the truck turned over a lot of people gathered round. It then caught fire and spread through the village."
Dozens of homes, many built from earth and straw, were engulfed in the night-time fire.
It was unclear whether the truck exploded when it crashed or whether the blaze was started later.
Marcellin Cisambo, governor of South Kivu, told Reuters: "Some people were killed trying to steal the fuel, but most of the deaths were of people who were indoors watching the [World Cup] match.
A police officer based in Bukavu said the accident had been caused by the lorry's "excessive speed".
The officer, who did not give his name, said that many of the villagers who surrounded the vehicle before it exploded were children.
The village, which is home to many Congolese soldiers and their families, was "in total mourning", the officer added.
 
we need a sample accident caused by this activity, pale ubungo ndio mamlama zitaamka kwa sasa wamelala usingizi wa pono au ni vipofu.

Wanunuaji magari sio yakwao; mwenye mali atajiju bola mkono uende kinywani
 
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=0 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD vAlign=top align=middle>
06_10_w9h4u7.jpg
</TD></TR><TR><TD class=kaziBody vAlign=top align=left>Kijana huyu akihatarisha maisha yake kwa kukinga mafuta kutoka kwenye tenki la gari hili likiwa linatembea katika barabara ya Nyerere Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).</TD></TR></TBODY></TABLE>

Matokeo ya huu uendawazimu haya hapa... https://www.jamiiforums.com/habari-...6249-gari-la-mafuta-laangamiza-220-kongo.html
 
Back
Top Bottom