Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Tajiri kanunua mbuzi!
Akamwambia mpishi!
Nyama nusu ipike pilau na nyingine itie kwenye friza!
K ichwa fanya supu na miguu fanya mchuzi chukuchuku!
Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pika na ndizi!
Mavi weka kwenye bustani. ni mbolea nzuri
Na mifupa tutawauzia wenye mbwa!
Mpishi akamuliza:
Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako?
Akamwambia mpishi!
Nyama nusu ipike pilau na nyingine itie kwenye friza!
K ichwa fanya supu na miguu fanya mchuzi chukuchuku!
Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pika na ndizi!
Mavi weka kwenye bustani. ni mbolea nzuri
Na mifupa tutawauzia wenye mbwa!
Mpishi akamuliza:
Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako?