silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Mi nashangaa sana jamaa kachakachua, vitu ambavyo havichakachuliki, wananchi wenyewe wamesema hawamtaki, sasa yeye atashirikiana nanani? mbona anakuwa kama chizi, wewe kama unataka kuwatumikia wananchi utawatumikia watu wanaokukubali na si vingine
Nenda kajiuzuru kwa Wachakachuaji wenzako huko Arusha hawakutaki wewe Mea sijui jina lako nani, Hata mkeo hakushauri?
Nenda kajiuzuru kwa Wachakachuaji wenzako huko Arusha hawakutaki wewe Mea sijui jina lako nani, Hata mkeo hakushauri?