tena huyu membe ndo kabisaaaaaaaaaaaaaaaa..yaani ni kiazi sijapata kuona...ukimuuliza swali utakoma anavoanza kuzunguka weeeee mpaka anaingiza kanuni za tanu ndo atoe jibu...
Bendera ufata upepo ndo stlye yake
Hoja yako ni nini? Mbona unazuka tu na kuingia KI UDAKU UDAKU? Acha kuja Ki mugongo mugongo eleza haja yako hapaMh Membe naye anaanza kutafuta mass influence,cjui naye ndio yupo kwenye harakati za kujivua gamba?.Ishu ya Libya yenyewe kama waziri wa Inje ya boundery amekumbushwa na wabunge.leo hii anaosha nyota UDOM.Kuna umuhimu wa kuwa mgumu kuamini.
Huyu jamaa ndo yule aliyekosea protokali kwenye mkutano wa Sullivan, mpaka Nyoka(aliyejivua gamba juzi) akaingilia kati? Yupo kwenye mkakati mzito sana wa kujitengeneza.tena huyu membe ndo kabisaaaaaaaaaaaaaaaa..yaani ni kiazi sijapata kuona...ukimuuliza swali utakoma anavoanza kuzunguka weeeee mpaka anaingiza kanuni za tanu ndo atoe jibu...
Mh Membe naye anaanza kutafuta mass influence,cjui naye ndio yupo kwenye harakati za kujivua gamba?.Ishu ya Libya yenyewe kama waziri wa Inje ya boundery amekumbushwa na wabunge.leo hii anaosha nyota UDOM.Kuna umuhimu wa kuwa mgumu kuamini.
tena huyu membe ndo kabisaaaaaaaaaaaaaaaa..yaani ni kiazi sijapata kuona...ukimuuliza swali utakoma anavoanza kuzunguka weeeee mpaka anaingiza kanuni za tanu ndo atoe jibu...
Sijakuelewa...Mh Membe naye anaanza kutafuta mass influence,cjui naye ndio yupo kwenye harakati za kujivua gamba?.Ishu ya Libya yenyewe kama waziri wa Inje ya boundery amekumbushwa na wabunge.leo hii anaosha nyota UDOM.Kuna umuhimu wa kuwa mgumu kuamini.
Mh Membe naye anaanza kutafuta mass influence,cjui naye ndio yupo kwenye harakati za kujivua gamba?.Ishu ya Libya yenyewe kama waziri wa Inje ya boundery amekumbushwa na wabunge.leo hii anaosha nyota UDOM.Kuna umuhimu wa kuwa mgumu kuamini.
Wala sina muda na huyu jamaa...nahakika hatawapata watu maana kila mtu alikuwa akiguna hapa UDOM aliposikia kuwa huyu mzembe yupo hapa......................