Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
- Thread starter
- #41
nilifuaa mawazo yenu niwe mwenye subira! Leo amesikitika ati! Alikua anasumbuliwa na malaria pia ansikitika mbona nimekua kimya hivyo!!
Sasa najiona nakua nmeshikiwa akili zangu!!
Inaniumiza kichwa jamani!!.
Sasa najiona nakua nmeshikiwa akili zangu!!
Inaniumiza kichwa jamani!!.