Mmh, mi nilipita tu, naogopa kuchangia maana wenyewe wakikusikia kesho asubuhi wanakuja kuangusha kipigo mtaani kwenu.
Hii kali kwelikweli!
Dah, wakuu mnahatarisha hali ya nchi!! Kuna mtu ana note User I'd zenu, soon mtajaopolewa mlipo.
Ni hayo tu
tuombe vita ya kirafiki na Museven
tuombe vita ya kirafiki na Museven
museveni ni nchi moja na sisi au hujui?
ebwana nimependa wazo lako nakushauri tuwasiliane ili tuandae hiyo proposal tuiwasilishe kwa mkuu wa nchi