power tiller
Member
- Jan 17, 2012
- 13
- 1
wandugu huyu kweka aliyetajwa na mbunge kuwa anamtandao wa kihalifu ndani ya jeshi la polisi ni askari wa wapi?
ushuzi huu!Ni polisi toka kabila la CHADEMA!
yale yale ya majibu mepesi kwa maswali magumu...wa Tanzania chini ya Jeshi la Polisi la Tz
Aaah! mrembo upo?Ni polisi toka kabila la CHADEMA!
Yaani unataka sisi ndo tukuambie??wandugu huyu kweka aliyetajwa na mbunge kuwa anamtandao wa kihalifu ndani ya jeshi la polisi ni askari wa wapi?
Ni polisi toka kabila la CHADEMA!
Aaah! mrembo upo?