Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti jamani, ni haki kaka kumlinda mdogo wake wa kike ambaye ni zaidi ya miaka 18 asiwe na Boy Friend?
Mie huyu kaka yangu mwenzenu keshanichosha, natamani hata kumtovuga!
Dunia imechafuka sn mdogo wangu, kama wewe ni mwanafunzi zidisha juhudi kwenye masomo na km wewe ni mfanyakazi zidisha juhudi kazini, wanaume hawaishi kama utajiheshimu utajaolewa lkn ht kama ww ni mzuri kama malaika km umeshaanza kumegwamegwa hovyo kuolewa kwako itakua bahati nasibu, KAKA YK ANAWAMEGA WASCHANA NA KUWATOSA ANAJUA NAWEWE UTAMEGWA NA KUTOSWA NDIO MANA ANAKUNYIMA. tafakari chukua hatua
ukisubiri hadi utakapoolewa itakuwaje?mie mwenyewe nina akili yangu, kwani sijui ngono salama!
elimu ya ukimwi ni pana zaidi ya unavyofikiri,kwanza wenyewe tumepanga kwenda kupima kabla ya kushiriki kwenye tendo,
Eti jamani, ni haki kaka kumlinda mdogo wake wa kike ambaye ni zaidi ya miaka 18 asiwe na Boy Friend?
Mie huyu kaka yangu mwenzenu keshanichosha, natamani hata kumtovuga!
Eti jamani, ni haki kaka kumlinda mdogo wake wa kike ambaye ni zaidi ya miaka 18 asiwe na Boy Friend?
Mie huyu kaka yangu mwenzenu keshanichosha, natamani hata kumtovuga!
Eti jamani, ni haki kaka kumlinda mdogo wake wa kike ambaye ni zaidi ya miaka 18 asiwe na Boy Friend?
Mie huyu kaka yangu mwenzenu keshanichosha, natamani hata kumtovuga!
Unataka boi friend wa nini..mbona mapema sana, ukiwa mkubwa si ndio utataka punda?? Kaka yako anakupenda hataki yakukute ya ku kukuta.! Soma kwanza, ila ukiona unawashwa sana, nitafute.
Hivi hili jambo lina kusubiri kweli!? jamani tusidanganyane!
Wewe binti unaonekana mbishi sana wewe. Yaani wenzio wanakushauri lakini hata huelewi kabisa. Haya basi nenda ukampe hawara yako hicho kitumbua chako akuambuze maukimwi yake. Tena kama vipi mkingie hata TIGO akuchanechane.
HII lazi ndio inatolewa vipi?mmwagie lazi ndio atatia akili