Wachovu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 1,227
- 565
si unajua tena walimwengu tunapenda kuingilia mambo siyo yetu? tulidhani tunaokoa jahazi kumbe......................
Lazima tuingilie mambo ya watu nasema ni lazima , maana tunaishi kwa kuingiliana sisi sio visiwa kuamua kukaa kivyetu vyetu . Sasa kama huyu mukaka kaamua kuwa hivyo sasa madada zetu nani ATAWA-DO ? Makaka mmeubiwa kuwadu madada