Huyu jogoo ananitia aibu!!!!

Ndio maana huyo demu bado ni bikra kama unavyosema, kwani nadhani jamaa wote alioenda nao hawakuona ndani. Hebu jaribu kufuatilia historia yake kwanza. pole sana kwa kutoona ndani!
 
Wewe kama unampango wa kuoana naye tafadhali kuwa na subira, acha uzinzi una madhara makubwa tena utakuwa umepata chombo cha kweli maana chako mwenyewe hicho hakijatumiwa na wengine..
 
Habari wana jf. Jaman hebu naombeni mnipe ufumbuzi juu ya suala hili. Nnaye mpenz wangu ambaye tumedum ktk uhusiana kwa takribani miezi nane sasa. Kwa muda wote huu nimekuwa nikimuomba game anabana anadai yeye ni bikra hatuwez kufanya hivyo hadi tuoane. Lakn hiv majuzi amekuwa akiniita nikalale kwake usiku. Kwangu mimi niliiona hiyo ni golden chance kufanya ile game. Ni kama nilivyo dhamilia; mara ya kwanza kulala naye nilijtahd k2mia kila mbinu ya kumwandaa kimapenz nnayo ijua na kiukweli nilifanikiwa kumvua chupi japo ilinichukua kama masaa4 yaan tangu sa6 ucku to sa10 alfajiri (anaonekana kwel ni bikra kwa jinsi alivyo mgen wa mambo haya). K2 kilicho nishangaza na kuniuma sana ni pale nilipo maliza kumchojoa chupi na kujiproject ktkt ya paja zake ili nianze kula tunda. Kwa mda wote huo jogoo alikuwa amesmama ila nilivyo mgusisha2 babu kwenye mlango wa bibi alisinyaa ghafla na haksmama tena hadi asubuhi. Nikawa nimeikosa nafasi hyo kwa mara ya kwanza. Binafsi nilihis pengine ni errors2 ndogo ambazo zisingejirudia nikiipata tena hiyo chance kwn skuwah kpatwa na hiyo stuation before (kwa madem nilio wahi kuwa nao kabla yake). Cha ajabu stuation ileile imejtokeza tena jana. Wakt wa fore play jogoo yuko imara ila nilipotaka kumzamisha2 akasinyaa ghafla. Tena akasnyaa serious hadi asubuhi. Kwa mara nyingine nikakosa chance. Jaman si aibu hii!!!. Pengine tushauriane tatizo nini? Na nifanye nini?.

kaolewa na jini mahaba huyo - hataki mtu agushe kidude - toka nduki bwa mdogo wafwaa... lol
 
Umeniskumbusha mbali saaaana! Iliwahi kunitokea mwaka 1995. Ni tatizo la kisaikolojia tu kama wengi walivyosema. Demu ukimpania muda mrefu, siku ukiwa nae hali hiyo mara nyingi hutokea. Pole sana!
 
Pole sana kiongozi kwa kukosa hizo fursa mbili mfululizo. Hilo ni tatizo la kisaikolojia kama alivyogusia #26. Hata mimi iliwahi pia kunitokea kama hivyo,ikawa balaa ya kujisemesha semesha! Sikupata fursa ya pili kama wewe, hivyo sikujali sana.
 
Hapo huna tatizo lolote ni wasiwasi wako tu ndio umesababisha yote hayo..
 
Back
Top Bottom