Huyu sio mtu mmoja! Mtu mmoja hawezi kumaliza pombe zote hizo na akifanikiwa kumaliza haamki tena
Huyu sio mtu mmoja! Mtu mmoja hawezi kumaliza pombe zote hizo na akifanikiwa kumaliza haamki tena
Pia angeondoa hizo glass! Kuna glass takriban 5 amezitumiaje pekeyake?
Ila kwakuwa ni jukwaa la picha haina shida kivile
Sina uhakika wa bei... ila inaweza kufikia kati ya sh 100 hadi 250 hivi kwa chupa, ukizikusanya ulizotumia ukiziuza ah! unapata mashine ya kusagisha mahindi mkuu!Iv wananunua kwa sh ngap yaweza kuwa nina mtaj lkn nachezea
Dah iti izi veri interesitingiKuna jamaa alipiga tarumbeta hicho kibuyu kikubwa kimoja basi hakupata nafuu kwa muda wa siku tatu akafa lazima figo maini utumbo vyote viungane kama cement maji na mchanga kisha unasikia kwa mbali watu wanaimba parapanda italia parapandaaa.
Kwa kweri (kwa sauti ya bepari la kihaya )Dah iti izi veri interesitingi