Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Jun 4, 2011 #1 Mbuzi ni mbuzi! Hawezi kuwa Simba! By 20%!
golwebo_mkuu JF-Expert Member Mar 31, 2011 2,271 688 Jun 4, 2011 #2 hata simba ni simba hawezi kuwa mbuzi.
Z zebeya Member Feb 23, 2011 42 3 Jun 4, 2011 #3 Ndallo said: Mbuzi ni mbuzi! Hawezi kuwa Simba! By 20%! Click to expand... Nisaidie maana yake mkuu.
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,288 Jun 4, 2011 #6 ndo maana yake yani huyu bwana mdogo anashuka verse kinomanoma
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Jun 5, 2011 Thread starter #9 Sigma said: Kakukuna sehem gani mkubwa.... Click to expand... "Unaota umejenga angani! Achana na ndoto za kizamani"
Sigma said: Kakukuna sehem gani mkubwa.... Click to expand... "Unaota umejenga angani! Achana na ndoto za kizamani"
chuchunge JF-Expert Member Aug 17, 2007 212 154 Jun 5, 2011 #10 Siyo lazima woote tuimbe,waweza piga marimba utasikika pia!
Bigboy74 Senior Member Mar 6, 2009 105 109 Jun 6, 2011 #11 Hamna msanii ninaemkubali hapa zaidi ya huyu dogo.. He's a lyricist :majani7:
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,196 Jun 6, 2011 #12 wasanii wengi naogopa kuwasifu kwan unaweza hona aibu baadae.lakini twenty pa asilimaile ni noma.namkubari.
wasanii wengi naogopa kuwasifu kwan unaweza hona aibu baadae.lakini twenty pa asilimaile ni noma.namkubari.
Da Womanizer JF-Expert Member May 24, 2010 1,577 148 Jun 6, 2011 #13 Leonard Robert said: wasanii wengi naogopa kuwasifu kwan unaweza hona aibu baadae.lakini twenty pa asilimaile ni noma.namkubari. Click to expand... Unamkubari???????????????? Hyo ndiyo nini??
Leonard Robert said: wasanii wengi naogopa kuwasifu kwan unaweza hona aibu baadae.lakini twenty pa asilimaile ni noma.namkubari. Click to expand... Unamkubari???????????????? Hyo ndiyo nini??
Mambo Jambo JF-Expert Member Jul 11, 2008 1,100 81 Jun 6, 2011 #14 kusema huwezi iweje u force kuimba , we piga gitaa utasikika pia - 20 pah!
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Jun 6, 2011 #15 Tunaoneana noma police kupelekana- aluatani 20 pah.
Tanganyika1 JF-Expert Member May 10, 2011 422 86 Jun 6, 2011 #17 na bado mtazidi kumkubali mana ndo kwanza yuko 20% cpati picha akifika 40%
Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,877 2,758 Jun 7, 2011 #18 Ni coincidence tu. Alikuwa anakamilisha vina
Pasco_jr_ngumi JF-Expert Member Nov 20, 2010 1,802 282 Jun 7, 2011 #19 Ya nini malumbano, ya nini maneno! ....