Huyu George Maratu wa ITV style yake ya utangazaji ikoje?

nakubaliana kabisa na mtoa thread hii, nakataa kabisa hoja ya kwamba kila mtangazaji anatoka ki vyake, mimi ni msomi wa mass media kwa sana, hakuna kitu kama hicho ndio maana huwezi kuona vituko kama hivi kwenye TV kubwa hata siku moja, ukisha ingia kwenye mass com identity yako sio kabila lako wala style yako, ni brand image ya chombo kile, tatizo huko kwao whatever the boss says goes, sasa kama kwa upeo wao wamemuona huyo mtu ni babu kubwa hakuna namna ya kumboresha, ndio maana hawatoki wanabaki hivyo hivyo milele mpaka wana retire na kurudi tena kuwa ma correspondence na kuishia kuomba omba vibahasha. Wamekubali ku fit kwenye systems zisizowajenga na sisi huku tunashabikia upumbavu huo. Ni kweli kwa huyo aliyesema tu switch off, I do switch off whenever the clown comes on air, na kweli na ndio maana Ze comedy wanamuiga maana anafanana nao, sasa kama kuna mtu anaona kutokea kwenye this pathetic comedy isiiyo rating yoyote popote ni babu kubwa basi na wabaki nae, yaani hata hao wakurya wenyewe wanamsikia kinyaaaaaaaaa. hebu kama anasoma huku ndani na asikie kama ndio kile kile kiburi chetu cha much know, nae pia sawa. Ni kweli tunaweza kuwa na issue na Rainford Masako lakini huwezi kumlinganisha na hichi kituko.
 
Namna ya utangazaji wako kwenye luninga unakera sana , hivi ni kwanini lazima uvute hayo maneno unapomalizia sentensi? ni mbwembwe au nini? hivi hujuwi kuwa Kiswahili kikiongewa au kutumika kutangaza kama kilivyo kina ladha yake zaidi yakukigeuza na kuvuta maneno bila sababu yoyote?

Awali nilikuwa nikifikiri labda una lafdhi (accent) ya lugha fulani ya Tanzania na huna budi na kila unapoendelea kutangaza kwa Kiswahili utabadilika kwa ku "improve" lakini baada ya kukusikiliza kwa muda mrefu sasa, naona unazidi. Sijui ni nani alikusifia kuwa kwa kuongezea kuvuta sauti ya matamshi ya kila neno la mwisho la sentensi ni utangazaji mzuri? aliyekusifia anakudanganya, tangaza kwa kutamka maneno kiufasaha na kama kawaida ya Kiswahili utafanya vizuri zaidi. Tafadhali badilika.
Onyesha kusamehe, isemee haki, na upuka wenye ujinga.
 
Goosh...jamani hii ni identity,mwacheni mzee wa watu atoke na style yake...Maratu ni mkongwe katika tasnia ya utangazaji na ni imani yangu kajifunza mengi,kuinspire as well as kukera km hivi...my take;mchukulie km 'nyama ya hamu' of which hulazimishi kuila ikiwa nafsi haikushawishi kufanya hivyo...


Hii sio style yake amemuiga mtangazaji mmoja wa Radio moja ya FM Kenya inatangaza kutokea maeneo ya Kisiii. Nimesahau jina la hiyo radio stesheni. Hio radio yule Mghaka wa vitimbwi anakuwa na kipindi kama kile cha Power Breakfast. Ukimsikia huyo mtangazaji utajua wapi Maratu aliiga hiyo sauti. Yeye ndo aliiga maana yeye alikuwa sio mtangazaji wa radio wala TV, wakati wa Kenya yupo Radioni toka 1980's
 
Wanaokera zaidi ni hao wasimamizi wa vipindi wanaomuachia aharibu lugha na kuingiza kikwao sijui wapi kule ?. Na mimi ni XYZ wa Makorongoniiiiiiiiiiiiiii
 
Ni ulimbukeni tu hana jipya. Hivi akiwa anaongea na mkewe nyumbani au anatoa maagizo kwa mwanawe asubuhi anaongea hivyo?

hahaha dah mbaf sangu mie.......'leo mama juumaaaa uupike nyaamaaaaa......na wewe juumaaa hela yaaa twisheniii hiyo hapooo mezaaaniii...lol
 
Mimi ni Geoooorge Maratu.. waai tiiii viiii!!! I really like him kwa sababu is not boring. Wengine wakizungumza utadhani wanasoma kitabu. Kila nikiangalia ITV nasubiri kusikia GM ananini kutoka Mara huko!!


Inawezekana kabisa ITV wakawa na Policy kama ya BBC swahili service kwa kuzifanya habari kuwa na ladha na uhalisia wa sehemu inapotoka kwa kuwaacha maripota kama kina Patrice Chitera Na wengineo kuripoti kwa lafudhi ya mama huko walipo bila kuajiri wataalamu wa kiswahili na kuwapeleka huko maana uwezo wanao na hawafanyi hivyo kwa kulinda policy yao. What real matters for them ni content.

F.F kwa upande mwingine kwa miiko ya utangazaji ana hoja ya msingi na kama Ndugu yangu Mzee wa Bwawa la Kijtaji unasoma hapa basi si vibaya uakichukua hii kama chanagamoto, inawezekana kabisa wenye mawazo sana na Duble F ni wengi hivyo ukawa unawakera sana wakati wanakusikiliza na wengine kama MWKijiji wakawa wanaenjoy lakini ukweli na balance itabaki kwako kaka.

ADIOS
 
Ka GEORGE MARATU Anawaboa kwa kuvuta SAUTI, Je kwa MNAOABUDU kwenye KANISA la ROMA inakuaje, Si ndio hamuendi kanisani kabisa kwa jinsi MAPADRI wanavyovuta hy sauti,..Sijui hata MAPEPO yanakemewaje kwa jinsi wanavyoremba sauti..
 
Namna ya utangazaji wako kwenye luninga unakera sana , hivi ni kwanini lazima uvute hayo maneno unapomalizia sentensi? ni mbwembwe au nini? hivi hujuwi kuwa Kiswahili kikiongewa au kutumika kutangaza kama kilivyo kina ladha yake zaidi yakukigeuza na kuvuta maneno bila sababu yoyote?

Awali nilikuwa nikifikiri labda una lafdhi (accent) ya lugha fulani ya Tanzania na huna budi na kila unapoendelea kutangaza kwa Kiswahili utabadilika kwa ku "improve" lakini baada ya kukusikiliza kwa muda mrefu sasa, naona unazidi. Sijui ni nani alikusifia kuwa kwa kuongezea kuvuta sauti ya matamshi ya kila neno la mwisho la sentensi ni utangazaji mzuri? aliyekusifia anakudanganya, tangaza kwa kutamka maneno kiufasaha na kama kawaida ya Kiswahili utafanya vizuri zaidi. Tafadhali badilika.

Dada yangu FaizaFox, kumbe na wewe ni wa juzi juzi tuu enzi hizi za TV na stesheni kibao za redio?!.

Hiyo ni indentity yake kama Masako, mimi nampenda na namkubali sana, ukiondoa kumtangaza mmbunge mmoja tuu wa Musoma, Mhe. Nimrodi Mkono, kupita kiasi, najua ni kwa sababu ya mkono mrefu!.

Sisi wa zamani tunakumbuka enzi za Ben Kiko alikuwa na signature yake!, Bati Kobwa naye alikuwa na yake, David Wakati kwenye Nipe Habari, naye alikuwa na yake, kina Uncle J, Charle Hilary etc nao wana signature identies zao, mwache
"Mimii ni George.. Maratu, naaa Aiii ...Tiii .. Viii!" I like it!
 
Namna ya utangazaji wako kwenye luninga unakera sana , hivi ni kwanini lazima uvute hayo maneno unapomalizia sentensi? ni mbwembwe au nini? hivi hujuwi kuwa Kiswahili kikiongewa au kutumika kutangaza kama kilivyo kina ladha yake zaidi yakukigeuza na kuvuta maneno bila sababu yoyote? .

Mimi sijaelewa hasa kinachokukera. Je ni pale anapomalizia habari kwa kujitambulisha ("mimi ni joooooji maaaratuu wa aaai tiii viiii"!)? Ama ni usomaji/usimuliaji wake mzima wa habari?

Binafsi na kwa hakika watu wengi ninaowafahamu huwa wanafurahia kile kibwagizo chake cha mwisho (anavyojitambulisha)!...ni kama brand yake hivi!
 
Sasa aii tii vii ni kiswahili?aii kwa kiswahili si ni i,au?Napenda sana MARATU anavyowasilisha habari,
 
Nani kakwambia ni mzee,yule jamaa ni bwana mdogo tu sema mbwembwe tu zimezidi
Goosh...jamani hii ni identity,mwacheni mzee wa watu atoke na style yake...Maratu ni mkongwe katika tasnia ya utangazaji na ni imani yangu kajifunza mengi,kuinspire as well as kukera km hivi...my take;mchukulie km 'nyama ya hamu' of which hulazimishi kuila ikiwa nafsi haikushawishi kufanya hivyo...
 
Namna ya utangazaji wako kwenye luninga unakera sana , hivi ni kwanini lazima uvute hayo maneno unapomalizia sentensi? ni mbwembwe au nini? hivi hujuwi kuwa Kiswahili kikiongewa au kutumika kutangaza kama kilivyo kina ladha yake zaidi yakukigeuza na kuvuta maneno bila sababu yoyote?

Awali nilikuwa nikifikiri labda una lafdhi (accent) ya lugha fulani ya Tanzania na huna budi na kila unapoendelea kutangaza kwa Kiswahili utabadilika kwa ku "improve" lakini baada ya kukusikiliza kwa muda mrefu sasa, naona unazidi. Sijui ni nani alikusifia kuwa kwa kuongezea kuvuta sauti ya matamshi ya kila neno la mwisho la sentensi ni utangazaji mzuri? aliyekusifia anakudanganya, tangaza kwa kutamka maneno kiufasaha na kama kawaida ya Kiswahili utafanya vizuri zaidi. Tafadhali badilika.

Mbaya zaidi ni pale anapovuta sauti na kuweka koma kila baada ya neno moja ndipo mtazamaji/msikilizaji anaposhindwa kutambua kwamba anaongea vipande vya maneno ama vipi....mf alikwenda, akawaambia, akasisitiza nk yani si sentensi bali ni vipande vya maneno
 
Ka GEORGE MARATU Anawaboa kwa kuvuta SAUTI, Je kwa MNAOABUDU kwenye KANISA la ROMA inakuaje, Si ndio hamuendi kanisani kabisa kwa jinsi MAPADRI wanavyovuta hy sauti,..Sijui hata MAPEPO yanakemewaje kwa jinsi wanavyoremba sauti..


kwa heshima niliyopewa,nakutunuku degree ya heshima ya uzamivu(Phd) katika kufikri kwako kwa mapana!!!hii Dunia bwana,ishi uakavyo ila tu usimkwaze mtu!!!hata wanacamerooniwa wana haki zao!!!wajakuita ukawacameroon!!anayetaka na aende!!!
 
working with media lazima uwe creative...i think hiyo ni style yake, obvious wengine wataipenda wengine hawataipenda!
 
Yaani mimi huwa napata burudani kweli ananivutia" Mimi Gogi Maratooo wa III TIIVIIIIIIIIIII"
 
Style ,mtindo,identity yake kwa sisi ambao lugha tumenasibika nayo yaani hata babu mzaa babu aliongea kiswahili sanifu tunakerwa!
 
Back
Top Bottom