Huyu George Maratu wa ITV style yake ya utangazaji ikoje?

Goosh...jamani hii ni identity,mwacheni mzee wa watu atoke na style yake...Maratu ni mkongwe katika tasnia ya utangazaji na ni imani yangu kajifunza mengi,kuinspire as well as kukera km hivi...my take;mchukulie km 'nyama ya hamu' of which hulazimishi kuila ikiwa nafsi haikushawishi kufanya hivyo...
 
Nahisi kuna mtu ITV kamwambia anampotosha huyu George Maratu. Mwanaume gani unavita sauti kama bazoka? Kama kuna mtu karibu na huyu bwana awasiliane naye ili aepushe wanaume na hii fedheha. Huwezi kumsikiliza George Maratu mbele ya watoto. Aibu!
 
angekuwa sio maarufu hata ze comedy wasingemuiga, hiyo ni staili yake mbona humsemei Alfedi Masako?
kila mtu na namna yake eya utangazaji wapo wakongwe kama david wakati, kina mbotela, fredi machokaa nk wanakubalika na utabulisho wao ni namna wanavotangaza.
yale yale ya mwanao anataka kuwa muimbaji au msanii unamzuia kisa wadhani ni uhuni kumbe kila mtu kazaliwa na kipaji
MURAAAAAAA PIGA KAZI BABA WENYE WIVU WAKAJINYONGE.
 
angekuwa sio maarufu hata ze comedy wasingemuiga, hiyo ni staili yake mbona humsemei Alfedi Masako?
kila mtu na namna yake eya utangazaji wapo wakongwe kama david wakati, kina mbotela, fredi machokaa nk wanakubalika na utabulisho wao ni namna wanavotangaza.
yale yale ya mwanao anataka kuwa muimbaji au msanii unamzuia kisa wadhani ni uhuni kumbe kila mtu kazaliwa na kipaji
MURAAAAAAA PIGA KAZI BABA WENYE WIVU WAKAJINYONGE.

Ungemalizia, WA-KAAA-JI-NYOOO-NGEEEEEE.
 
Namna ya utangazaji wako kwenye luninga unakera sana , hivi ni kwanini lazima uvute hayo maneno unapomalizia sentensi? ni mbwembwe au nini? hivi hujuwi kuwa Kiswahili kikiongewa au kutumika kutangaza kama kilivyo kina ladha yake zaidi yakukigeuza na kuvuta maneno bila sababu yoyote?

Awali nilikuwa nikifikiri labda una lafdhi (accent) ya lugha fulani ya Tanzania na huna budi na kila unapoendelea kutangaza kwa Kiswahili utabadilika kwa ku "improve" lakini baada ya kukusikiliza kwa muda mrefu sasa, naona unazidi. Sijui ni nani alikusifia kuwa kwa kuongezea kuvuta sauti ya matamshi ya kila neno la mwisho la sentensi ni utangazaji mzuri? aliyekusifia anakudanganya, tangaza kwa kutamka maneno kiufasaha na kama kawaida ya Kiswahili utafanya vizuri zaidi. Tafadhali badilika.

We MAMA UPO KWENYE POSE LA TEETH nini???
 
Ni ulimbukeni tu hana jipya. Hivi akiwa anaongea na mkewe nyumbani au anatoa maagizo kwa mwanawe asubuhi anaongea hivyo?
 
good one ... next time do some little respect to what they do and who they chose to be. I mean mind your own business

I will never respect anyone who does not respect him/her self, you to start with, for not respecting others point of views. Maratu for not respecting our beautiful National Language.

What makes you think that you have all the rights to mind my business and to tell me what to or not to do?

What do you think of that?, the thinking one, that you have a longer than normal nose?
 
Ni English accents, repoters wengi wa TV waingereza huwa na accent hiyo ila na sisi tunapenda kuiga kila kitu. Binafsi sivutiwi but it is what it is.
 
Back
Top Bottom