Ninaangalia news za saa mbili, hao waimbaji unaowasema sija waona. Labda bangi kichwani mwako zinakufanya usikie kinyume.
kama umesikiliza kipindi cha michezo ungalielewa
Nafikiri wewe ndiyo una matatizo, kila mtu ana uongeaji wake.
vp yule wA tbc anaetangaza kene kipindi cha dini.
Huyu ripota wa Itv anayeripoti kutokea Mkoani Mara,hii style yake na intonation yake,wakuu mnaionaje? Is he singing or is he weeping?.Mm sijaisikia anywhere else,not in Bbc or Cnn or Aljazeera
vp yule wA tbc anaetangaza kene????? kipindi cha dini.
Kwa kipindi kirefu sana nimekuwa siridhishwi na usawa wa kuripoti habari kwa mwandishi wenu huyu kutoka Mara hadi kupelekea kuwauliza swali hili hivi George Marato ni mwandishi wa kujitegemea au ameajiliwa na IPP.kwa sababu sijawahi kumuona anaripoti mikutano ya kisiasa ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.Tafadhali naombeni jibu.
Ni correspondent, 99% ya reporters wa mikoani hawajaariwa, wanalipwa kwa story 1 buku ten! na mnazi wa chama tawala, kuna kipindi alikua kwenye mchakato wa udiwani, any other question??
stori moja 10,000?