Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Masaki taratibu mkuu maana jamaa bado mgeni na ndo kaingia inawezekana ikawa post yake ya kwanza.
Ni vizuri kumfungua macho mkuu. Maana asije kuanza kulalamika mtaani ajira hakuna, kwanini wanaajiriwa Wakenya (na siku hizi kuna Wafilipino pia wamevamia soko la ajira). Kumbe masikini ya Mungu barua zake hazina mvuto kwa mwajiri mtarajiwa na hivyo kushindwa kuitwa hata kwenye usaili.