Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Kama anakuonyesha hataki na wewe jifanye hutaki,usimuonyeshe tena kama una interest nae na usikubali kuwa kimvuli kama anavyokufanya huyo dada,maana wewe mwanaume enough kwa nini awe hivyo???eti bestfriend what the f***er............mpotezee tu na wanawake wapo wengi bana....