umesema kweli mkuu.Katika vitu ambvyo ctakuja kufanya ni kumpotezea mwanamke muda wake na kumchezea/kumdanganya. Unajua kbc huyo binti unampa ahadi za uongo,hebu jiweke ww kwenye nafasi ya huyo mdada hopely utafanya maamuzi sahihi na km na ushaamua kutomuoa mwambie mapema.