jana nilikuwa na mdau wa TSN jamani breakpoint nkamwambia nimeona kituko kwenye jamiif
akasema bana we aha nasikia ila unajua mabinti wengi wako kibiashara zaidi so ttuwe makini ukienda harusini kama single uvae zana kabisa misukosuko kama hii aiehelewi kukuvamia gafla na ka valyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kale ukashanga njwiiiii unaitafuta Kinondoni
Teh teh teh!!unajua suala la uzuri ni mtazamo tu wa mtu!wazungu wanasema "Beauty is in the eyes of beholder"
Mimi nampa alama kama ifuatavyo:
Umbo - 71%
Usafiri - -70%
Nywele - -85%
Viatu - -42%
Kivazi - 37%
Handbag - 58%
ikiwa si za maiti!!
MICHUZI HUYU BIBIE WAKATI SI KUMJARIBU BWANA HARUSI JAMANI NA WAPENDWA WALIO HARUSINI
ENYI WANA WAKE MKIWA MNAENDA KWENYE NDOA ZA WENZENU JUENI MWENZENU YAMEMSHINDA KAAMUA KUTULIA NA MMOJ ASASA KUMVALIA MWENZENU NGUO KAMA YA HUYU DADA KATI SI KUMJRAIBU SHETAN ALAFU MNASEMA SHETAN AMESHINDWA USHINDWE WEWE NA TAMAA ZAKO ZA DUNIA
halafu wale waliokuwepo kwenye hiyo sherehe wanasema eti hicho kimini ilikuwa tisa, kumi ni kwamba hata kufuli alikuwa hajavaa! Kaaaazi kwelikweli!
haha haha stak mieeeeeeeeeee
uyu mtoto bado na anawekundu uson km wa ant yake aliyevaa kimin mi stak...labda akue kdg ndo tutaendana..
This could be very beauteful couple!!I like it!!
kweli lakini wasije wakasema wewe ni fataki
Halafu wale waliokuwepo kwenye hiyo sherehe wanasema eti hicho kimini ilikuwa tisa, kumi ni kwamba hata kufuli alikuwa hajavaa! kaaaazi kwelikweli!
wacha kufuli akufunga unaambiwa mdgo wangu anasema akikaa kati unakuta kama mlima kilimanjaro umezungukwa na kifusi cha nyasi