NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Anabwana kazaa naye.
Amelazimisha kuhamia kwa bwana, anakaa chumba cha wageni. Bwana hamhusishi kwa lolote ndani ya nyumba na sasa bwana katembea na house girl wa huyo dada kampa mimba.
Bado huyu mdada ameng`ang`ania huko ndani. Sijui asaidiwe vipi maana huyo bwana ni mwisho wa matatizo.
Na dada nimrembo na anakazi bomba kabisa!
Amelazimisha kuhamia kwa bwana, anakaa chumba cha wageni. Bwana hamhusishi kwa lolote ndani ya nyumba na sasa bwana katembea na house girl wa huyo dada kampa mimba.
Bado huyu mdada ameng`ang`ania huko ndani. Sijui asaidiwe vipi maana huyo bwana ni mwisho wa matatizo.
Na dada nimrembo na anakazi bomba kabisa!