Huyu Babu Mwanga nini?

It is sad! very sad!. Alikutwa nyumba ya tatu toka ninapoishi, ni getini kwa Brig. Gen (Rtd) Adam Mwakanjuki. Nilipomuona asubihi wakati nakwenda job, kwa kumtazama tuu, kwa macho ya kawaida, utamjua wazi yuko insane. nikapiga simu home, garder wangu amletee kaptula yangu yoyote. Kaptula ililetwa, kundi la watu wakazui asisetiriwe eti mpaka polisi wafike, nikaenda zangu job.

Jioni niliporudi nikapata taarifa eti amepigwa mpaka ajieleze, kadri alivyokuwa hajibu kitu ndivyo alivyozidi kupigwa!, mpaka polisi walipofika na kumchukua. Alifikishwa hospitali ya Mwanyamala, next day alifariki.

Wanga, uchawi, ulozi, etc ni mbaya, ila pia mtu asiye na akili timamu au aliyechanganyikiwa ukimuona utamjua tuu, haihitaji akili za kidaktari kumjua huyu hayuko sawa, watu wa pale walimpiga kwa kosa gani?.

Kwa vile nchi yet inaendeleza hukumu ya adhabu ya kifo, wananchi nao wanajichukulia sheria mikononi kwa wao kuwa ndio wapelelezi, waendesha mashitaka na mahakimu hapo kwa hapo, tena very barbaric kwa kuisaidia serikali yao kwenye utekelezaji wa adhabu kama hizi.

Laiti tungekuwa hatuna adhabu ya kifo, hakuna mob justice ingekuwa inajichukulia sheria mikononi mwao. Najisikia a bit guilt, badala tuu ya kuitisha kijana aletewe kaptula, ningewaita polisi na mimi kuwepo eneo hilo, naamini, ningeweza kuspare maisha yake.

Nikiwa UD wakati ule niliishi Mabibo Hostel, kuna mwanafunzi wa kike alitibuana na mpenzi wake, akamuitia mwizi, kilichofuatia ni kipigo bila hata kuuliza kulikoni, nilipotaka kutetea japo wamsikilize tuu, ama aliyeibiwa ni nani, hakuna alijitokeza, walitaka kunishukia na mimi kwa madai sijui uchungu wa kuibiwa, niliwaambia najua, but not at a cost of human life, nilishindwa nguvu, jamaa walipiga, wakaua, ukweli ulipokuja kujulikana, it was too late.

Ndio maana bado nasikitishwa na mwizi wa kuku kufungwa tairi, kumwagiwa mafuta ya taa na kuchomwa moto, wakati mwizi wa bilioni 40! za Kagoda anashinda magogoni akinywa chai na mkulu!. Where is justice.


Mkuu wakati mwingine haohao vibaka akiona amezidiwa anajifanya kama kachanganyikiwa!!! Wachawi wapo hata watoto!!! Whether amechanganyikiwa au la....lakini suppose wewe PASCO unakutana naye nje ya nyumba yako...first impression yako nini???? (think beyond the box)
 
Kweli ni nyumba ya waziri...tena aweza kuwa wa awamu iliyopita maana wanavuna pesa kama nini... Ebu angalieni vigae vilivyotandazwa nje kila kona... Kwanini mlalahoi asione kama mahali pa kupumzika....ndo maana kapagawa akili.
 
It is sad! very sad!. Alikutwa nyumba ya tatu toka ninapoishi, ni getini kwa Brig. Gen (Rtd) Adam Mwakanjuki. Nilipomuona asubihi wakati nakwenda job, kwa kumtazama tuu, kwa macho ya kawaida, utamjua wazi yuko insane. nikapiga simu home, garder wangu amletee kaptula yangu yoyote. Kaptula ililetwa, kundi la watu wakazui asisetiriwe eti mpaka polisi wafike, nikaenda zangu job.

Jioni niliporudi nikapata taarifa eti amepigwa mpaka ajieleze, kadri alivyokuwa hajibu kitu ndivyo alivyozidi kupigwa!, mpaka polisi walipofika na kumchukua. Alifikishwa hospitali ya Mwanyamala, next day alifariki.

Wanga, uchawi, ulozi, etc ni mbaya, ila pia mtu asiye na akili timamu au aliyechanganyikiwa ukimuona utamjua tuu, haihitaji akili za kidaktari kumjua huyu hayuko sawa, watu wa pale walimpiga kwa kosa gani?.

Kwa vile nchi yet inaendeleza hukumu ya adhabu ya kifo, wananchi nao wanajichukulia sheria mikononi kwa wao kuwa ndio wapelelezi, waendesha mashitaka na mahakimu hapo kwa hapo, tena very barbaric kwa kuisaidia serikali yao kwenye utekelezaji wa adhabu kama hizi.

Laiti tungekuwa hatuna adhabu ya kifo, hakuna mob justice ingekuwa inajichukulia sheria mikononi mwao. Najisikia a bit guilt, badala tuu ya kuitisha kijana aletewe kaptula, ningewaita polisi na mimi kuwepo eneo hilo, naamini, ningeweza kuspare maisha yake.

Nikiwa UD wakati ule niliishi Mabibo Hostel, kuna mwanafunzi wa kike alitibuana na mpenzi wake, akamuitia mwizi, kilichofuatia ni kipigo bila hata kuuliza kulikoni, nilipotaka kutetea japo wamsikilize tuu, ama aliyeibiwa ni nani, hakuna alijitokeza, walitaka kunishukia na mimi kwa madai sijui uchungu wa kuibiwa, niliwaambia najua, but not at a cost of human life, nilishindwa nguvu, jamaa walipiga, wakaua, ukweli ulipokuja kujulikana, it was too late.

Ndio maana bado nasikitishwa na mwizi wa kuku kufungwa tairi, kumwagiwa mafuta ya taa na kuchomwa moto, wakati mwizi wa bilioni 40! za Kagoda anashinda magogoni akinywa chai na mkulu!. Where is justice.
Hapo Tanganyika hakuna Serikali ila pana SIRIKALI. Mpaka kije chama kingine kutawala ndipo kutakuwa na Haki za Binadamu na Serikali itakuwepo yenye haki za binadamu.

HAPO%252BSASA.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom