Huyu Baba Kiboko..

dah,huyo baba natahani hata kumwozesha atakataa!!huyo binti nae mpole sana
 
sawa lakini kuna uhuru fulani ambao binti atakosa...... Lakini kali kuliko ni pale ambapo binti anaishi kama wapangaji wengine tu....hii haijatulia.

kwa hiyo binti anataka kuhama kwa sababu ya kupata uhuru???
 
ila binti kama hajaolewa na hakuna sababu ya msingi ya kutoka home ni vyema akalinda heshima kwa kuendelea kuishi kwao hadi majaaliwa
 
1.baba atak bnt aondoke so KATUMIA MUUNDO MBINU UO ILI BNT ASTOKE HOME IL AWEZE KUMCHUNGA FRESH
2.baba anapenda sana pesa..

hapo #1 - wazee wengi wa kibongo huwa hawaamini kuwa mtoto wa kike anaweza akaondoka nyumbani na kwenda kujitegemea mwenyewe!!wana mtazamo kwamba bint hawezi kukabiliana na changamoto za maisha ya mtaa!!wanaamini mwanamke ni kiumbe kinachotakiwa kiwe na m2 wa kumuangalia na kumuongoza kimaisha, hivyo wako tayari kumzuia mpaka atakapopata m2 wa kumuoa!!yaani kwao wanaona kitu cha kumuondoa bint chini yao ni mume tu............
hapo #2 - mdingi amechemsha, inaonyesha hawakuwa na mawazo niliyoyaweka hapo juu......yeye anatolea sana macho pesa, kitu ambayo haijakaa poa kabisa!!na ina maana atakuwa anaangalia jiwe la pango zaidi kuliko kumchunga bint husika!!!
ni hayo tu..........
 
kwa hiyo binti anataka kuhama kwa sababu ya kupata uhuru???

yap...
uhuru unahusika hasa kwa bint mkubwa kama huyo, unajua kuna mambo mengine huwezi mbele ya wazee nafikiri hata wewe unalitambua hilo!!
kiukweli bint amechemsha kukubaliana na sababu nyepesi aliyopewa na mshua wake, labda kama mkataba alio sign una vipengele vinavyompa huo uhuru aliokuwa anaukosa hapo kabla ya kuwa mpangaji kwenye nyumba ya wazee wake.....
 
Mi nafikiri mzee yuko sawa kwani anataka siku akiondoka nyumbani awe
Anaenda Kukaa na mwenza wake. Kwa maoni yangu binafsi nikitaka kuoa
Nitaoa binti anayetoka kwa wazazi wake si kwa dada wala kwake alikojitegemea unless kuna
Genuine reason may be wazazi wanakaa mbali na eneo la kazi Yake.
Generally kutokea kwa wazazi inaonyesha mtoto amelelewa vizuri au anatokea kwenye stable family ambacho
Nafikiri wengi wetu ndio tunataka.
 
yap...
uhuru unahusika hasa kwa bint mkubwa kama huyo, unajua kuna mambo mengine huwezi mbele ya wazee nafikiri hata wewe unalitambua hilo!!
kiukweli bint amechemsha kukubaliana na sababu nyepesi aliyopewa na mshua wake, labda kama mkataba alio sign una vipengele vinavyompa huo uhuru aliokuwa anaukosa hapo kabla ya kuwa mpangaji kwenye nyumba ya wazee wake.....

je huo uhuru anaoutaka binti unatokana na msukumo upi???? kawa na b/f ambaye anataka kumtumia kwa uhuru ndo ahame nyumbani???? je anataka kuhudhuria viwanja ?? au nini hasa
 
pole sana katavi yani hapo hautakuwa na uhuru tena wa kwenda hm kwao labda utangaze ndoa kabisa
 
Nimewahi watch street court baba anamdai mwanawe fedha za bills mbalimbali umeme majì huko mbele ni mambo ya kawaida,ila bongo watakuita mkoloni!
 
nunua bidhaa za tanzania uijenge tanzania. Napita tuu ngoja nikatafakari kabla sijachangia

kama vipi anzisha mada yako ya bidhaa za tzania. Cjui zipo ngapi ambazo unaweza ukajivunia. Viwanda karibu vyote vya kizalendo, vilifilisiwa na watu waliokuwa na uchu na mali na sie watanzania kama walivyo wasukuma tukasema ntu tabu gete-hakuna shida kabisa wkt shida ipo na iko wazi.
 
Kwa upande mwingine sio vibaya...kama kuna chumba ambacho mpangaji yeyote angekaa, why not binti yake?? Ila tu binti hatakuwa na uhuru...kama angeishi sehemu nyingine.
ni nyumbani afu bado alipie???kumbuka huo utamaduni upo western countries ambapo wenzetu ukishafikisha 18 yrs ka bdo upo home unakua unalipa kodi lakini bongo hatujafika huko jamani loooh
 
Duh,so bado akichelewa amuulize "ulikua wapi usiku wote huu?"
Na akichelewa kuolewa lawama tena duh,huyo atakua ana lake moyoni,...

Bora tu asiwe anasema "Huyu binti mmh,kama mama yake enzi zile"
 
Back
Top Bottom