Tumaini, St Augustine nk anapata
Divinity inahesabiwa?
Hapa vp? Jamani msaada
HIST-S
GEO-E
KISW-D
Nashuku sana mkubwa me nilitaka nichukue Barchelor of Arts with Education hapo imekaaje na n vyuo gani n apply ambavyo havina ushndani?
Wakuu naomba ushauri wenu mdogo wangu wa kike kapata dv 3 ya 16
atapata chuo kweli naomba mawazo yenu kwa anayejua
G/STUDIES-S HISTORY-S DIVINITY-E KISWAHILI-E ENGLISH-S
Wakuu naomba ushauri wenu mdogo wangu wa kike kapata dv 3 ya 16
atapata chuo kweli naomba mawazo yenu kwa anayejua
G/STUDIES-S HISTORY-S DIVINITY-E KISWAHILI-E ENGLISH-S