Huyu ananitania au ananipima

duh..mdogo wangu Lily...hapo ina maana anakaa wapi hadi zipite wiki nne hamuonani?

na je anafanya kazi gani hadi imkeep busy kiasi hicho?

Hapo sie tunasema stuka...kama ulivostuka....kuna mwenzio mahali mahali,

Je wewe mapenzi yako kwake yakoje manake majuzi hapoa alikuwepo dada yetu anadai yeye anataka tu kulipiwa bili zake na the so called BF!

kama unaona vipi anakupotezea muda mwache wewe formally ijapokuwa atakuwa ameshakuacha informally just by his actions
Nilimwambia he must be having an affair na mtu mwingine akakataa, yeye ni mfanyabiashara na cko kifedha zaidi maana am also earning, I think u no wart am seying

Tulipendana mno, ndio hivyo mwenzangu ananifanyia vimbwanga na kwanini hataki kuniambia its OVA, kwani kuna ubaya tukiaachana kwa usalama??
 
Nadhani kosa moja ni la kumwambia/kumtaka "akuambie kama basi". Hili linakera saaaaana midume mingi nami ni mmoja wapo-Inawezekana aka-conclude kuwa wewe huna shida naye tena na akazidi kujongomea (sina hakika kama ulipita JKT enzi za mwalimu, unaweza usielewe neno hili). Lakini, mtu kakwambia yuko busy-wewe umefanya homework hata kidogo tu ya kuhakiki hicho anachosema kwamba kazi zimemzidi kweli?. Unaweza kukuta kapanda cheo majukumu yameongezeka, wewe unalalamika tu !
 
ni kweli mkuu!
lakini hiyo ya miaka miwili bila ku-do SIO WANAWAKE WA SASA!hawataelewa kwakweli

Ni heri wasielewe kuliko kuuziwa mbuzi kibudu kwenye gunia! Mwanamke aliyeshawahi kumegwa akae miaka miwili bila kumegwa? Over my dead body! Ngoja nikamuulize bibi, nilisahau kumuuliza hili nilipokuwa vekesheni.
 
Ningeomba kujua ulisha mpa chakula kile chakula bila kunawa?
Yaani ulisha mpa jamaa aka mega na kujiexpress jibu kwanza ndipo tuendelee.
 
Nilimwambia he must be having an affair na mtu mwingine akakataa, yeye ni mfanyabiashara na cko kifedha zaidi maana am also earning, I think u no wart am seying

Tulipendana mno, ndio hivyo mwenzangu ananifanyia vimbwanga na kwanini hataki kuniambia its OVA, kwani kuna ubaya tukiaachana kwa usalama??

Hehehe! Dada si umeona mwenyewe? Hiyo blue hapo si ni past tense hiyo? We mwenyewe umekiri hapo! Its over then! LOL! Ngoja nikufanzie mpango kuna jamaa amepanga kuweka ndani kifaa ifikapo 2012. Tatizo anapenda sana kujiexpress!
 
Nadhani kosa moja ni la kumwambia/kumtaka "akuambie kama basi". Hili linakera saaaaana midume mingi nami ni mmoja wapo-Inawezekana aka-conclude kuwa wewe huna shida naye tena na akazidi kujongomea (sina hakika kama ulipita JKT enzi za mwalimu, unaweza usielewe neno hili). Lakini, mtu kakwambia yuko busy-wewe umefanya homework hata kidogo tu ya kuhakiki hicho anachosema kwamba kazi zimemzidi kweli?. Unaweza kukuta kapanda cheo majukumu yameongezeka, wewe unalalamika tu !
Edo, nimeshamfuatilia kwa ukaribu sana, kweli ubusy ni wa kawaida lakini huu ubusy hata usiku jamani, hapo mwanzo alikuwa anauwezo wakuja nyumbani hata saa sita uskiu na alishazea kufanya hivyo sasa ghafla bin vuu mambo yabadilike, its not possible.
 
Ni heri wasielewe kuliko kuuziwa mbuzi kibudu kwenye gunia! Mwanamke aliyeshawahi kumegwa akae miaka miwili bila kumegwa? Over my dead body! Ngoja nikamuulize bibi, nilisahau kumuuliza hili nilipokuwa vekesheni.
kuna jamaa mmoja ni so decent!amekufa vibaya kwa kidem dem cha chuo!hicho kijidem wakati kiko sekondari kilikuwa kijanamke cha MATUKIO(mitungo,mande,mapenzi darasani,librari,mara kikafumaniwa mara hivi mara vile) kwa kifupi kimezoea ku-do!

sasa jamaa hataki ku-do sasa.ana theory yake NO SEX BEFORE MARRIAGE!kidem kimetangaza ku-mmwaga jamaa.na jamaa yupo well-off.kinalalama kwamba imefikia muda hakiwezi kuendelea kusubiri!KIUNO KIMEKAZA ANASEMA:D
 
kuna jamaa mmoja ni so decent!amekufa vibaya kwa kidem dem cha chuo!hicho kijidem wakati kiko sekondari kilikuwa kijanamke cha MATUKIO(mitungo,mande,mapenzi darasani,librari,mara kikafumaniwa mara hivi mara vile) kwa kifupi kimezoea ku-do!

sasa jamaa hataki ku-do sasa.ana theory yake NO SEX BEFORE MARRIAGE!kidem kimetangaza ku-mmwaga jamaa.na jamaa yupo well-off.kinalalama kwamba imefikia muda hakiwezi kuendelea kusubiri!KIUNO KIMEKAZA ANASEMA:D

Hehehe! Umekula Senksi hapo! Kiuno kukaza sio? Kinataka n'chale wa n'jomba? Nimekumbuka sredi ya wanaume kukata kiuno! Kiuno anakata mwanamke bana! Na kukaa miaka miwili bila kukikata ni lazima kikaze! Ulizeni!
 
Hehehe! Dada si umeona mwenyewe? Hiyo blue hapo si ni past tense hiyo? We mwenyewe umekiri hapo! Its over then! LOL! Ngoja nikufanzie mpango kuna jamaa amepanga kuweka ndani kifaa ifikapo 2012. Tatizo anapenda sana kujiexpress!
Kaka huyo nitamweza kweli?
 
Nimekuelewa ! Una haki ya kuuliza ! Ila usichoke kumtumia hata salaam, tuliza kichwa kwanza usitoe maamuzi haraka. Waone na tembelea ma -class mates wako sana ili kuondoa tension !
 
Hehehe! Umekula Senksi hapo! Kiuno kukaza sio? Kinataka n'chale wa n'jomba? Nimekumbuka sredi ya wanaume kukata kiuno! Kiuno anakata mwanamke bana! Na kukaa miaka miwili bila kukikata ni lazima kikaze! Ulizeni!
ha ha ha ha ha ha!
umekata mzizi wa fitina kwenye hicho kimakonde!

hiyo ya kiuno:ni thread inayojitegemea.mpwaazz kaizer na mm tulipishana njia hapo.mimi na nguli tuliweka msimamo wetu wazi kabisa:MWANAUME HANA KIUNO:D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom