Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
- Thread starter
- #21
Nilimwambia he must be having an affair na mtu mwingine akakataa, yeye ni mfanyabiashara na cko kifedha zaidi maana am also earning, I think u no wart am seyingduh..mdogo wangu Lily...hapo ina maana anakaa wapi hadi zipite wiki nne hamuonani?
na je anafanya kazi gani hadi imkeep busy kiasi hicho?
Hapo sie tunasema stuka...kama ulivostuka....kuna mwenzio mahali mahali,
Je wewe mapenzi yako kwake yakoje manake majuzi hapoa alikuwepo dada yetu anadai yeye anataka tu kulipiwa bili zake na the so called BF!
kama unaona vipi anakupotezea muda mwache wewe formally ijapokuwa atakuwa ameshakuacha informally just by his actions
Tulipendana mno, ndio hivyo mwenzangu ananifanyia vimbwanga na kwanini hataki kuniambia its OVA, kwani kuna ubaya tukiaachana kwa usalama??