Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Jan 28, 2010 Thread starter #3 Ng'wanza Madaso said: Wataimba na kurukaruka. Click to expand... huku wakisema?
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Jan 28, 2010 Thread starter #5 Kiranga said: Huyu Guru gani wa kihindi? Click to expand... sijui huyo ni muhindi au ni nani...
Cynic JF-Expert Member Jan 5, 2009 5,144 1,648 Jan 28, 2010 #7 Natamani na mimi kuwa saint. Ila naona sijui nimechelewa!?
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,315 33,109 Jan 29, 2010 #10 Pape said: Click to expand... Watasema Yesu Aliyefufuka kutokana na wafu hawafufuki lakini yeyey Amefufuka Ehhhhh
Pape said: Click to expand... Watasema Yesu Aliyefufuka kutokana na wafu hawafufuki lakini yeyey Amefufuka Ehhhhh
BinMgen JF-Expert Member Jun 18, 2008 1,854 262 Jan 29, 2010 #12 Pape said: sijui huyo ni muhindi au ni nani... Click to expand... HUYU NDIE YESU MWENYEWE . . Bwana! kumbe umesha kuja, njoo na hapa TZ utuone wanao, sikuhizi tunacheza ngoma kweli kwa ajili yako basi njoo tucheze sote, ili tuone umahiri wako wa kulisakata SEBENE. . ONDOKENI KWANGU SIWAJUIWI MTOKAKO .. . sijafundisha watu kucheza ngoma.
Pape said: sijui huyo ni muhindi au ni nani... Click to expand... HUYU NDIE YESU MWENYEWE . . Bwana! kumbe umesha kuja, njoo na hapa TZ utuone wanao, sikuhizi tunacheza ngoma kweli kwa ajili yako basi njoo tucheze sote, ili tuone umahiri wako wa kulisakata SEBENE. . ONDOKENI KWANGU SIWAJUIWI MTOKAKO .. . sijafundisha watu kucheza ngoma.
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Jan 29, 2010 Thread starter #13 Cynic said: Natamani na mimi kuwa saint. Ila naona sijui nimechelewa!? Click to expand... nakuonea macho kama utamudu...
Cynic said: Natamani na mimi kuwa saint. Ila naona sijui nimechelewa!? Click to expand... nakuonea macho kama utamudu...