Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Unakumbuka mwaka jana nilikwambia hivi vibarua vya watu si vya kutegemea sana kimaisha.
Katika kulijua hilo nikalazimika kufungua vijiofisi pembeni.
Nikafungu kaduka ka Stationary, Internet cafe na Cutting salon, wife ndiyo overall inchurge wa hii makitu!
Tatizo ni mke wangu kila kukicha anagombana na wafanyakazi, yaani ndg yangu tangu niufungue huu mradi wafanyakazi zaidi ya 15 wameacha, imekua kukicha unaajiri wapya.
Hawa wanaacha, hawa unaajiri.
Tabu wanaoacha ndiyo wenye tija kwani wanakua wameshaelewa kazi vzr.
Wapya ni hadi wafundishwe hivyo shughuli zinazorota.
Last wik niliitisha kikao cha wafanyakazi wote kujua kinachowakwaza, kwani tayari nilishapata tetesi kua kuna wengine tena wawili wako mbioni kuacha.
Wafanyakazi nilikaanao bila wife kuweko (kwa startegic ya usalama wao)
mbiu kauli yao kwangu wafanyakazi wakaniambia tatizo ni matusi, wife wangu anawatukana kupitiliza.
Kosa dogo mitusi lundo, tena kuna wakati anawatukana wafanyakazi mbele ya jamaa/ndugu zao ambao hupita hapo kwa dkk chache kuwasalimia.
Hili lalamiko kwangu halikua geni kwani nimeshalipata kila mara mfanyakazi aachapo kazi.
Binafsi yangu nimeshamuasa wife aachane na hii kadhia ni kama imeshindikana.
Na sidhani kwa makosa namna hii niachane nae nitakua sina akili nzuri, kwn hagombani namimi ni wafanyakazi.
Unanishauri nini rafiki yangu Judgement ? Niufunge huu mradi ?
Na nijuavyo suala la kujaribu tu, kumwambia wife akae mbali na huu mradi 100% litapelekea kuyumbisha nyumba (ndoa) yetu.
Nawasilisha.
Katika kulijua hilo nikalazimika kufungua vijiofisi pembeni.
Nikafungu kaduka ka Stationary, Internet cafe na Cutting salon, wife ndiyo overall inchurge wa hii makitu!
Tatizo ni mke wangu kila kukicha anagombana na wafanyakazi, yaani ndg yangu tangu niufungue huu mradi wafanyakazi zaidi ya 15 wameacha, imekua kukicha unaajiri wapya.
Hawa wanaacha, hawa unaajiri.
Tabu wanaoacha ndiyo wenye tija kwani wanakua wameshaelewa kazi vzr.
Wapya ni hadi wafundishwe hivyo shughuli zinazorota.
Last wik niliitisha kikao cha wafanyakazi wote kujua kinachowakwaza, kwani tayari nilishapata tetesi kua kuna wengine tena wawili wako mbioni kuacha.
Wafanyakazi nilikaanao bila wife kuweko (kwa startegic ya usalama wao)
mbiu kauli yao kwangu wafanyakazi wakaniambia tatizo ni matusi, wife wangu anawatukana kupitiliza.
Kosa dogo mitusi lundo, tena kuna wakati anawatukana wafanyakazi mbele ya jamaa/ndugu zao ambao hupita hapo kwa dkk chache kuwasalimia.
Hili lalamiko kwangu halikua geni kwani nimeshalipata kila mara mfanyakazi aachapo kazi.
Binafsi yangu nimeshamuasa wife aachane na hii kadhia ni kama imeshindikana.
Na sidhani kwa makosa namna hii niachane nae nitakua sina akili nzuri, kwn hagombani namimi ni wafanyakazi.
Unanishauri nini rafiki yangu Judgement ? Niufunge huu mradi ?
Na nijuavyo suala la kujaribu tu, kumwambia wife akae mbali na huu mradi 100% litapelekea kuyumbisha nyumba (ndoa) yetu.
Nawasilisha.