Huyu afanyweje? Anaelekea kushindikana sasa!

Judgement

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
10,327
4,779
Unakumbuka mwaka jana nilikwambia hivi vibarua vya watu si vya kutegemea sana kimaisha.
Katika kulijua hilo nikalazimika kufungua vijiofisi pembeni.
Nikafungu kaduka ka Stationary, Internet cafe na Cutting salon, wife ndiyo overall inchurge wa hii makitu!
Tatizo ni mke wangu kila kukicha anagombana na wafanyakazi, yaani ndg yangu tangu niufungue huu mradi wafanyakazi zaidi ya 15 wameacha, imekua kukicha unaajiri wapya.
Hawa wanaacha, hawa unaajiri.
Tabu wanaoacha ndiyo wenye tija kwani wanakua wameshaelewa kazi vzr.
Wapya ni hadi wafundishwe hivyo shughuli zinazorota.
Last wik niliitisha kikao cha wafanyakazi wote kujua kinachowakwaza, kwani tayari nilishapata tetesi kua kuna wengine tena wawili wako mbioni kuacha.
Wafanyakazi nilikaanao bila wife kuweko (kwa startegic ya usalama wao)
mbiu kauli yao kwangu wafanyakazi wakaniambia tatizo ni matusi, wife wangu anawatukana kupitiliza.
Kosa dogo mitusi lundo, tena kuna wakati anawatukana wafanyakazi mbele ya jamaa/ndugu zao ambao hupita hapo kwa dkk chache kuwasalimia.
Hili lalamiko kwangu halikua geni kwani nimeshalipata kila mara mfanyakazi aachapo kazi.
Binafsi yangu nimeshamuasa wife aachane na hii kadhia ni kama imeshindikana.
Na sidhani kwa makosa namna hii niachane nae nitakua sina akili nzuri, kwn hagombani namimi ni wafanyakazi.
Unanishauri nini rafiki yangu Judgement ? Niufunge huu mradi ?
Na nijuavyo suala la kujaribu tu, kumwambia wife akae mbali na huu mradi 100% litapelekea kuyumbisha nyumba (ndoa) yetu.
Nawasilisha.
 
Unakumbuka mwaka jana nilikwambia hivi vibarua vya watu si vya kutegemea sana kimaisha.
Katika kulijua hilo nikalazimika kufungua vijiofisi pembeni.
Nikafungu kaduka ka Stationary, Internet cafe na Cutting salon, wife ndiyo overall inchurge wa hii makitu!
Tatizo ni mke wangu kila kukicha anagombana na wafanyakazi, yaani ndg yangu tangu niufungue huu mradi wafanyakazi zaidi ya 15 wameacha, imekua kukicha unaajiri wapya.
Hawa wanaacha, hawa unaajiri.
Tabu wanaoacha ndiyo wenye tija kwani wanakua wameshaelewa kazi vzr.
Wapya ni hadi wafundishwe hivyo shughuli zinazorota.
Last wik niliitisha kikao cha wafanyakazi wote kujua kinachowakwaza, kwani tayari nilishapata tetesi kua kuna wengine tena wawili wako mbioni kuacha.
Wafanyakazi nilikaanao bila wife kuweko (kwa startegic ya usalama wao)
mbiu kauli yao kwangu wafanyakazi wakaniambia tatizo ni matusi, wife wangu anawatukana kupitiliza.
Kosa dogo mitusi lundo, tena kuna wakati anawatukana wafanyakazi mbele ya jamaa/ndugu zao ambao hupita hapo kwa dkk chache kuwasalimia.
Hili lalamiko kwangu halikua geni kwani nimeshalipata kila mara mfanyakazi aachapo kazi.
Binafsi yangu nimeshamuasa wife aachane na hii kadhia ni kama imeshindikana.
Na sidhani kwa makosa namna hii niachane nae nitakua sina akili nzuri, kwn hagombani namimi ni wafanyakazi.
Unanishauri nini rafiki yangu Judgement ? Niufunge huu mradi ?
Na nijuavyo suala la kujaribu tu, kumwambia wife akae mbali na huu mradi 100% litapelekea kuyumbisha nyumba (ndoa) yetu.
Nawasilisha.

Mke wa nini wakati vigori kibao.
 
Kama huwezi kumdhibiti mkeo kwenye jambo lenye tija kama hilo..Je? siku maisha yakiyumba utaweza kumdhibiti asikimbie
 
mke mpumbavu huvuruga mwenyewe ndoa yake, lazima aadabishwe tena bila huruma. ili ajue mdomo wake na ulimi wake vinatakiwa kuwa na mipaka, ulimi uwe na tbs kha! ngoja siku atakayomtusi ndugu yako au bosi wako, aibu utakayoingia ndiyo utatia akili! mwana umleavyo, ndivyo ulivyomkuza na kumzoesha!
 
wanawake wengine nuksi kweli...
kuna wanawake wamefanya ndoa zao jehanum ya moto....
huyo mwanamke abaki tu nyumbani kuangalia tv mchana na kumpa mumewe utamu usiku..hafai kwa shughuli yeyote hapa duniani...mpuuzi mtupu...
 
Kama huwezi kumdhibiti mkeo kwenye jambo lenye tija kama hilo..Je? siku maisha yakiyumba utaweza kumdhibiti asikimbie

Ploto!
Mie nimeuliza na kutaka ushauri, hapa na wewe umeniuliza badala ya kunipa utatuzi, demand over demand!
Tutamsaidiaje huyu ?
 
mke mpumbavu huvuruga mwenyewe ndoa yake, lazima aadabishwe tena bila huruma. ili ajue mdomo wake na ulimi wake vinatakiwa kuwa na mipaka, ulimi uwe na tbs kha! ngoja siku atakayomtusi ndugu yako au bosi wako, aibu utakayoingia ndiyo utatia akili! mwana umleavyo, ndivyo ulivyomkuza na kumzoesha!

Ahsante kuwakilisha cacico.
 
Kufunga mradi haitakuwa suluhisho. kazi unayotakiwa kuifanya hapo ni namna ya kumuondoa wife wako katika biashara hiyo. Katika hili itakuwa rahisi kumtafutia kazi mbadala, na hii unaweza kuifanya kwa kuongea nae na kumuelewesha kwa utaratibu. kama atakuwa muelewa na anaitakia mema biashara yenu basi atakuelewa. Ila kama ni ......... basi hapo mzee ni hasara.
 
wanawake wengine nuksi kweli...
kuna wanawake wamefanya ndoa zao jehanum ya moto....
huyo mwanamke abaki tu nyumbani kuangalia tv mchana na kumpa mumewe utamu usiku..hafai kwa shughuli yeyote hapa duniani...mpuuzi mtupu...

Hapo sasa! Muhusika kaniambia huyo wife wake alivyoushobokea huo mradi si polepole!
Ana hakika akijaribu tu kumuweka pembeni ya mradi nyumbani bifu hazitakwisha.
Far to the story wewe Smile jana ulilalamika kidole sijui mkono vyakuuma nikakwambia njoo nikugange, ikishindikana nikuombee, huja'respond whaay ?
 
Kufunga mradi haitakuwa suluhisho. kazi unayotakiwa kuifanya hapo ni namna ya kumuondoa wife wako katika biashara hiyo. Katika hili itakuwa rahisi kumtafutia kazi mbadala, na hii unaweza kuifanya kwa kuongea nae na kumuelewesha kwa utaratibu. kama atakuwa muelewa na anaitakia mema biashara yenu basi atakuelewa. Ila kama ni ......... basi hapo mzee ni hasara.

Mkuu asante ntafikisha!
 
Hapo sasa! Muhusika kaniambia huyo wife wake alivyoushobokea huo mradi si polepole!
Ana hakika akijaribu tu kumuweka pembeni ya mradi nyumbani bifu hazitakwisha.
Far to the story wewe Smile jana ulilalamika kidole sijui mkono vyakuuma nikakwambia njoo nikugange, ikishindikana nikuombee, huja'respond whaay ?
basi auache ufe ...lirudi huko nyumbani milele ...
 
Ploto!
Mie nimeuliza na kutaka ushauri, hapa na wewe umeniuliza badala ya kunipa utatuzi, demand over demand!
Tutamsaidiaje huyu ?

wakati mwingine tunapata majibu mujarab ndani ya maswali..Kwani si huwa tunajiuliza tunapotaka kufanya maamuzi kabla..na majibu yenyewe yanakuwa ndani ya swali?

Msome vizuri rafiki yako: Anamwogopa mke wake, Kwa nini? Kwa sababu pamoja na kujua mke wake ana matusi kwa wafanyakazi wake lakini bado aliwaita kuwauliza sababu za wao kuacha kazi. Ndio maana nikauliza: "Kama huwezi kumdhibiti mkeo kwenye jambo lenye tija kama hilo..Je? siku maisha yakiyumba utaweza kumdhibiti asikimbie?"

Yeye ni Kichwa na kiongozi wa familia..asikwepe kuchukua maamuzi magumu..Amweleze. Muhimu tatizo linajulikana suluhisho ni kumtoa kwenye uangalizi wa angalau mradi mmoja halafu ajifunze kutokana na perfomance ya wengine.

Katika hilo asipojifunza..amwondoe kwenye miradi yote na kumpa pesa afungue mradi wake mwenyewe na yeye (mume) asimwingile....halafu aone uchungu wa kufunga biashara wakati wateja wapo.

Na hilo lisipompa somo tumsaidieje?.....Arudi nyumbani kutunza watoto? (hapa nimeuliza swali tena). Mungu atamsaidia.
 
wakati mwingine tunapata majibu mujarab ndani ya maswali..Kwani si huwa tunajiuliza tunapotaka kufanya maamuzi kabla..na majibu yenyewe yanakuwa ndani ya swali?

Msome vizuri rafiki yako: Anamwogopa mke wake, Kwa nini? Kwa sababu pamoja na kujua mke wake ana matusi kwa wafanyakazi wake lakini bado aliwaita kuwauliza sababu za wao kuacha kazi. Ndio maana nikauliza: "Kama huwezi kumdhibiti mkeo kwenye jambo lenye tija kama hilo..Je? siku maisha yakiyumba utaweza kumdhibiti asikimbie?"

Yeye ni Kichwa na kiongozi wa familia..asikwepe kuchukua maamuzi magumu..Amweleze. Muhimu tatizo linajulikana suluhisho ni kumtoa kwenye uangalizi wa angalau mradi mmoja halafu ajifunze kutokana na perfomance ya wengine.

Katika hilo asipojifunza..amwondoe kwenye miradi yote na kumpa pesa afungue mradi wake mwenyewe na yeye (mume) asimwingile....halafu aone uchungu wa kufunga biashara wakati wateja wapo.

Na hilo lisipompa somo tumsaidieje?.....Arudi nyumbani kutunza watoto? (hapa nimeuliza swali tena). Mungu atamsaidia.
wanaume wengine wanapelekeshwa humo ndani ....ohoooo
 
Ole wako na wewe u-copy...tunatofautiana unaweza kula kipondo mpaka ujute kuvaa suruali kwenye avatar
mimi siwezi kumtesa mtu naeishi nae bana ...sitaki kumtesa wala sitaki yeye anitese ..ndo maana nipo alone ..sitaki kuishi kwa makwazo
 
Back
Top Bottom