Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
ThanksHodi" ya chooni haiitikiwi "karibu
i like the sign
USIITUPE KULE!
ThanksHodi" ya chooni haiitikiwi "karibu
i like the sign
Nafikiri tatizo sio mapenzi wala ujana ni NaTURAL DESIRE.
Starehe ya mbwa kabisa, kila akitaka kujikuna lazima aukalie mkia wake eti kisa upo nyuma, my take : wengi hutoka na wapenzi wa wenzao kwapale wanapojua madhaifu ya rafiki zao na kuitumia nafasi hiyo kupenyeza sumu. Akiona hujui kuzungumza mpenzi wako wakati yeye ni bingwa tayari atajilegeza kwake nakupiga vistoori akimuonyesha utamu wasauti amvutie, kurembua, kutembea na kutingisha mpodudo, mapozi take care ! Hata wanaume hujifanya wakarimu na wanamjali shemeji yao watatumia udhaifu wako kukuponda kisha watapenyeza rupia. Si mnajua maneno sumu. Mfano mi sijui kubembeleza rafiki yangu akija kwangu aongee na mpenzi wangu alafu amuulize "huyu mwenzio yukoje?, yaani hajui kubembeleza"
badala aje akushauri ubadilike yeye ndo anajifanya wakuja kumbembeleza kila siku tena hata mbele yako mwishowe hutaamini. JAMANI UONGO?![/QUOTE]
Kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
1-LAST TIME NAPIGA INFIDELITY maeneo ya riverside nilijikuta narudi home NIMEGEUZA VESTI/FULANA YA KUTANGULIZA NDANI...nakumbuka niligeuza mara mbili yaani nje-ndani na nyuma-mbele
nilivyoihandle hiyo mata kwa waifu najua mimi....
tupeni kuleeeeee....!mbali kabisa!
kudadadeki