nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
<brSio utumwa kaka ni mgawanyo wa kazi tu.<br />
Kama unaona anateseka, Mtafutie House Girl amsaidie.<br />
Lakini kwa mimi hainiingii akilini, kuanza kusaidia kuosha vyombo baada ya kurudi kazini.<br />
Mbona humsaidii kubeba Mimba?
mmh???!!!! kwa kupitia hii michango ya lazima ugundue tabia za watu na jinsi wanavyoishi kwenye ndoa zao....haya bwana binadamu hatufanani....