....Huyo ni mkeo, sio mtumwa wako...

Somewhere someone somehow is being paid to be a gender-crusader!
could be, coz the title is already biased and he is blaming other men and portraying a saint scene on his side

what a gentleman!!
 

Attachments

  • scared_homer.gif
    scared_homer.gif
    5.3 KB · Views: 99
ndugu yangu bugumya huko ndiokupitwa na wakati kwenyewe siku hizi wanawake ndio wanategemewa kwa kiasi kikubwa kutunza familia financially kama unavyojua kwamba wengi wamesoma na wanafanya kazi kama wanaume. Labda mkeo mama wa nyumbani tuhint. Imagine unarudi umechoka unakaa kwenye kochi unawatch telly, bibie sometimes anafanya kazi more demanding then aje akukurike na wewe unamwuita akuletee glasi ya maji au mtoto analia. Je huu ni uungwana?try to be on her shoes ndio utaelewa.
<br />
<br />
tatzo lenu hamkawii kuigeuza favour kuwa right!
 
<br />
<br />
tatzo lenu hamkawii kuigeuza favour kuwa right!

Mkuu hapo tunarudi pale pale kuna tatizo kwenye ndoa yako
pale mkeo anaposhindwa kujua kuwa hapa ni favour na sio right na ppale anapogeuza favour kuwa right
 
could be, coz the title is already biased and he is blaming other men and portraying a saint scene on his side

what a gentleman!!

Mkuu inategemea na malezi mtu alivyolelewa.
Unajua kuna baadhi ya vijana wa kiume katika makuzi yao wanafanya kazi zote ambazo mtoto wa kike anafanya?
Na kinyume chake kuna wengine hata kubeba begi lake la shule wakati akienda shule hawezi? Mtoto kama huyu akifikia umri wa kuanza maisha kwa mfano, ataweza kuandaa hata chakula chake?

Hapo sikuwa biased bali nimejaribu kuielezea situation kwa ujumla wake. Hata kama mimi si "mtakatifu" kiasi hicho lakini haiwezi kuondoa ukweli kuwa tunalo "tatizo" hilo kwenye jamii yetu.
Kuwa kocha wa mchezo fulani si lazima uwe umecheza mchezo huo kabla.
 
Na ishu ya kuacha matumizi ya nyumbani mbona hujaiongelea??
Kila mtu ana roles zake kwenye familia mkuu!

Matumizi sio tatizo Mkuu, kuna wengine hatuachiwi hela ya matumizi ila tunatoa matumizi sisi...
Ukweli wanaume mkubali msikubali, mnawatumikisha wake zenu. Halafu mnategemea UPENDO toka kwao, sio rahisi..
 
wanawake wengine wanapenda kufanya kazi za ndani wenyewe bila kusaidiwa na waume zao.yakiwazidi huweka wasichana wa kazi.{hasa wanawake wa pwani}wanaamini ndio heshima na wanahisi raha kufanya yote ya ndani.na kwa kuwahudumia wanaume,utanawishwa mkono,huondoki mpaka mume amalize kula,kila baada ya muda unasuguliwa mwili mzima kwa machicha ya nazi,ngozi inakuwa lainiiiiiiiii.na mengine mengi tu.unaambiwa unachuma thawabu kwa mume,na pepo yako,ni kumtii mume wako.
 
mwanaume kujua fungu la nyanya sokoni ni sh ngapi na vitunguu vya mia ni vingapi ni haki? kila mtu akae kwa heshima zake bwana yaani mume wangu kabisa atwange tangawizi na kukuna nazi sipati photo
 
Mkuu am married over the past 4 years.
Mi mwenyewe kabla ya kuoa dreams zangu zilikuwa hivyo kwamba wife anitumikie kwa kila kitu. Baada ya kuingia ndani ya ndoa nikaona hakuna dili yoyote, na kiukweli kuna baadhi ya kazi huwa namsaidia wife na hazijawahi kuniondolea/na hazitaniondolea uanaume wangu, na badala yake inaniongezea upendo kwa wife.

Kwangu mimi, kutaka kila kitu eti ufanyiwe na wife, ni fikra mgando.
Ashakum si matus: Kuna baadhi ya men hata nguo zao za ndani wanawaachia wake zao wafue....shame!

Mkuu,

Mambo ya ndoa yaache hivi hivi. Kuna wenzio waliotaka kuleta uzungu huko kwao Mazense na Tandale. Sasa yamewashinda na wanahaha kujaribu kujivua gamba!!

Nadhani lolote mtakalokubaliana kwenye ndoa na kila mmoja akaridhika nalo ni jema tu!! Mbaya ni kupretend!
 
<b>mwanaume kujua fungu la nyanya sokoni ni sh ngapi na vitunguu vya mia ni vingapi ni haki? kila mtu akae kwa heshima zake bwana yaani mume wangu kabisa atwange tangawizi na kukuna nazi sipati photo</b>
<br />
<br />
waambie wenzio bebii,kuna wanawake beijing imewaharibu kabisa
 
Salaam wadau,&lt;br /&gt;<br />
Nimejaribu kuangalia kwa kina maisha ya ndoa hasa hizi za kiafrika, kipekee za kitanzania na nimegundua kuwa wengi wa wanaume huwafanya wanawake kuwa ni &amp;quot;watumwa&amp;quot; wao.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Yaani wanaume huwatumikisha wake zao kupita kiasi. Kuanzia kufua, kupika, kuosha vyombo na mikazi mingine kibao....bado mume akiwa ameketi atataka apakuliwe chakula, atengewe, hadi mikono eti anawishwe...Hivi ni kweli wewe mwanaume unashindwa hata kupakua chakula kutoka kwenye hotpot hadi upakuliwe..?&lt;br /&gt;<br />
Mara atataka anyooshewe nguo, viatu ang'arishiwe....dah too much jamani!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hivi huyo ni mkeo au mtumishi wako..!?&lt;br /&gt;<br />
Modern men need to change bwanaaa!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hayo ndo'madhara ya kutoroka &quot;unyago&quot; na kujidai werevu kuhusu usawa wa kijinsia. Umeanza vzuri ila umeharisha ulipoanza kutoa mifano. Hivi kwahiyo mtakapo kuwa mnapika baba awenaandaa vyombo mezani?<br />
Teh! Kweli kusoma ni &quot;madarasa&quot;
 
<b>mwanaume kujua fungu la nyanya sokoni ni sh ngapi na vitunguu vya mia ni vingapi ni haki? kila mtu akae kwa heshima zake bwana yaani mume wangu kabisa atwange tangawizi na kukuna nazi sipati photo</b>
<br />
<br />
bebii maisha kiuzungu nowsday
 
Mkifata dini hususan Uislaam, mwanamke ni wa kulishwa na kuvishwa na akae ajipambe kwa Mumewe tu.

Nakubaliana na mleta mada, wengi hufanya wake zao ni watumwa nadhani hawa hawana "taaluma" (kwenda shule pekee si kuelimika).
 
Na ishu ya kuacha matumizi ya nyumbani mbona hujaiongelea??
Kila mtu ana roles zake kwenye familia mkuu!
lakini pia ujue kwa familia zilizo nyingi siku hizi watu wote ni wafanyakazi na huchangia, I mean mwanaume pamoja na mke wake wote huingia maofisini kusaka!
Lakini inapokuja suala la kuhudumia mama hufanya shughuli zote, sasa kwa nini iwe hivyo?
 
kumfulia mume nguo za ndani sio issue, tatizo ni pale inapotokea for any reason mwanamke akashindwa kufua, kwa ubinafsi wa wanaume, atachukua yake tu na kuifua! maisha yamebadilika jamani,msiwasikilize wakina bebii,bado ni vigori hawajajua huwezi beba mgongoni mkubwa mwenzio kwa miaka 40 ya ndoa. mnaanza mahusiano na maigizo baada ya ndoa mnashindwa kuigiziza na kujiingiza kwenye infiii! hali imekua ngumu,wote tunatoka kusanya tuje kushirikiana maendeleo yetu. nakubaliana na FF, kama mwanamke ni mama wa nyumbani afanye kazi na ww ulete mshiko. ndo maana haki ya ndoa inakua taabu,mama atoke kazini jioni,afikie shughuli zote peke yake halafu tena nanilii!
 
Mkifata dini hususan Uislaam, mwanamke ni wa kulishwa na kuvishwa na akae ajipambe kwa Mumewe tu.

Nakubaliana na mleta mada, wengi hufanya wake zao ni watumwa nadhani hawa hawana "taaluma" (kwenda shule pekee si kuelimika).

"Wapambeni wake zenu kwa herini na dhahabu"
Hivi hawamuwaoni hata wapemba....nenda unguja uone kama kuna mwanamke anaenda marikiti..
 
"Wapambeni wake zenu kwa herini na dhahabu"
Hivi hawamuwaoni hata wapemba....nenda unguja uone kama kuna mwanamke anaenda marikiti..

Mhhhh mkuu usitake tufike huko
Tuishie kwetu bara huku huku ambako tunajua wapi na lipi la kufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom