....Huyo ni mkeo, sio mtumwa wako...

Mkeshaji

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,262
1,416
Salaam wadau,
Nimejaribu kuangalia kwa kina maisha ya ndoa hasa hizi za kiafrika, kipekee za kitanzania na nimegundua kuwa wengi wa wanaume huwafanya wanawake kuwa ni "watumwa" wao.

Yaani wanaume huwatumikisha wake zao kupita kiasi. Kuanzia kufua, kupika, kuosha vyombo na mikazi mingine kibao....bado mume akiwa ameketi atataka apakuliwe chakula, atengewe, hadi mikono eti anawishwe...Hivi ni kweli wewe mwanaume unashindwa hata kupakua chakula kutoka kwenye hotpot hadi upakuliwe..?
Mara atataka anyooshewe nguo, viatu ang'arishiwe....dah too much jamani!

Hivi huyo ni mkeo au mtumishi wako..!?
Modern men need to change bwanaaa!
 
kuna elements za ukweli sana tu kwenye post bu are you married?? or do you understand ile concept nzima ya ndoa na role za kila mmoja wao ndani ya ndoa??

by sking, i dont mean to oppose what you say, but i want us to discuss the subject while knowing nani ni nani na yupo kundi gani
 
Sijui kama mtoa mada yuko kwenye ndoa au ameongea from nowhere
may be ungekuja na wazo lako kama uko kwenye ndoa usije ukajikuta tuu unaongea
 
Salaam wadau,<br />
Nimejaribu kuangalia kwa kina maisha ya ndoa hasa hizi za kiafrika, kipekee za kitanzania na nimegundua kuwa wengi wa wanaume huwafanya wanawake kuwa ni &quot;watumwa&quot; wao.<br />
<br />
Yaani wanaume huwatumikisha wake zao kupita kiasi. Kuanzia kufua, kupika, kuosha vyombo na mikazi mingine kibao....bado mume akiwa ameketi atataka apakuliwe chakula, atengewe, hadi mikono eti anawishwe...Hivi ni kweli wewe mwanaume unashindwa hata kupakua chakula kutoka kwenye hotpot hadi upakuliwe..?<br />
Mara atataka anyooshewe nguo, viatu ang'arishiwe....dah too much jamani!<br />
<br />
Hivi huyo ni mkeo au mtumishi wako..!?<br />
Modern men need to change bwanaaa!
<br />
<br />
yah they have 2 change
 
kuna elements za ukweli sana tu kwenye post bu are you married?? or do you understand ile concept nzima ya ndoa na role za kila mmoja wao ndani ya ndoa??

by sking, i dont mean to oppose what you say, but i want us to discuss the subject while knowing nani ni nani na yupo kundi gani

Mkuu am married over the past 4 years.
Mi mwenyewe kabla ya kuoa dreams zangu zilikuwa hivyo kwamba wife anitumikie kwa kila kitu. Baada ya kuingia ndani ya ndoa nikaona hakuna dili yoyote, na kiukweli kuna baadhi ya kazi huwa namsaidia wife na hazijawahi kuniondolea/na hazitaniondolea uanaume wangu, na badala yake inaniongezea upendo kwa wife.

Kwangu mimi, kutaka kila kitu eti ufanyiwe na wife, ni fikra mgando.
Ashakum si matus: Kuna baadhi ya men hata nguo zao za ndani wanawaachia wake zao wafue....shame!
 
Salaam wadau,
Nimejaribu kuangalia kwa kina maisha ya ndoa hasa hizi za kiafrika, kipekee za kitanzania na nimegundua kuwa wengi wa wanaume huwafanya wanawake kuwa ni "watumwa" wao.

Yaani wanaume huwatumikisha wake zao kupita kiasi. Kuanzia kufua, kupika, kuosha vyombo na mikazi mingine kibao....bado mume akiwa ameketi atataka apakuliwe chakula, atengewe, hadi mikono eti anawishwe...Hivi ni kweli wewe mwanaume unashindwa hata kupakua chakula kutoka kwenye hotpot hadi upakuliwe..?
Mara atataka anyooshewe nguo, viatu ang'arishiwe....dah too much jamani!

Hivi huyo ni mkeo au mtumishi wako..!?
Modern men need to change bwanaaa!

Nitarejea baadae kidogo.
 
Na ishu ya kuacha matumizi ya nyumbani mbona hujaiongelea??
Kila mtu ana roles zake kwenye familia mkuu!
 
Mkuu am married over the past 4 years.
Mi mwenyewe kabla ya kuoa dreams zangu zilikuwa hivyo kwamba wife anitumikie kwa kila kitu. Baada ya kuingia ndani ya ndoa nikaona hakuna dili yoyote, na kiukweli kuna baadhi ya kazi huwa namsaidia wife na hazijawahi kuniondolea/na hazitaniondolea uanaume wangu, na badala yake inaniongezea upendo kwa wife.

Kwangu mimi, kutaka kila kitu eti ufanyiwe na wife, ni fikra mgando.
Ashakum si matus: Kuna baadhi ya men hata nguo zao za ndani wanawaachia wake zao wafue....shame!

At least umeniondolea wasi wasi wangu maana kuna watu ambao hata mawazo ya ndoa hawana ila wanazungumzia mambo hayo kama wazoefu
Some time kuna ukweli katika statement yako na ni ukweli watu wa aina hiyo wapo
Tena idadi ni kubwa sana ya wanaume ambao wakirudi hata kama ni mtoto wake hambebi au kuwahi hata kumlisha chakula wakati wife anafanya mambo mengine
 
Mkuu am married over the past 4 years.<br />
Mi mwenyewe kabla ya kuoa dreams zangu zilikuwa hivyo kwamba wife anitumikie kwa kila kitu. Baada ya kuingia ndani ya ndoa nikaona hakuna dili yoyote, na kiukweli kuna baadhi ya kazi huwa namsaidia wife na hazijawahi kuniondolea/na hazitaniondolea uanaume wangu, na badala yake inaniongezea upendo kwa wife.<br />
<br />
Kwangu mimi, kutaka kila kitu eti ufanyiwe na wife, ni fikra mgando.<br />
Ashakum si matus: Kuna baadhi ya men hata nguo zao za ndani wanawaachia wake zao wafue....shame!
<br />
<br />
 
Mkuu am married over the past 4 years.<br />
Mi mwenyewe kabla ya kuoa dreams zangu zilikuwa hivyo kwamba wife anitumikie kwa kila kitu. Baada ya kuingia ndani ya ndoa nikaona hakuna dili yoyote, na kiukweli kuna baadhi ya kazi huwa namsaidia wife na hazijawahi kuniondolea/na hazitaniondolea uanaume wangu, na badala yake inaniongezea upendo kwa wife.<br />
<br />
Kwangu mimi, kutaka kila kitu eti ufanyiwe na wife, ni fikra mgando.<br />
Ashakum si matus: Kuna baadhi ya men hata nguo zao za ndani wanawaachia wake zao wafue....shame!
<br />
<br />
that's a system of lyf uv choosen to live,siku ukiambiwa safisha meza,mbele ya wageni wa heshima...ndo akili yako itafunguka vzr kuhusiana na hao viumbe wenye jinsia KE au FE
 
<br />
<br />
that's a system of lyf uv choosen to live,siku ukiambiwa safisha meza,mbele ya wageni wa heshima...ndo akili yako itafunguka vzr kuhusiana na hao viumbe wenye jinsia KE au FE

Mkuu nafikiri kuna mazingira ambayo mkeo hawezi kukufanyia hilo au kukuvunjia heshima yako mbele ya wageni
Ukiona anakufanyia hayo ujue toka mwanzao kuwa ndoa yenu ndo ilivyo kuwa mke anaweza kukutolea maneno ya kashfa mbele za watu
Hili hapa anazungumzia ule usaidizi ambao kama mume na mke mmekubaliana na mnaufanya sio ule wa wazi hata mbele ya mtoto wako wa kike au wa kiume unaambia kaoshe vyombo hapo hakuna heshima tena ndani ya nyumba
 
<br />
<br />
that's a system of lyf uv choosen to live,siku ukiambiwa safisha meza,mbele ya wageni wa heshima...ndo akili yako itafunguka vzr kuhusiana na hao viumbe wenye jinsia KE au FE

Kuna baadhi ya kazi ambazo mwanaume unaweza ukafanya na zisiwe na effect yoyote kwako. Mfano kunyoosha nguo zako au hata za mtoto wako mdogo, kunga'risha viatu vyako, n.k.

Vilevile haimaanishi kuwa ukimsaidia mkeo kazi basi utaratibu mwingine ndani ya nyumba uvunjike. Mkeo akikwambia usafishe meza mbele ya wageni kama ulivyosema, hiyo ni dharau na ni suala la kitabia la huyo mke.
Akiweza kukufanyia hivyo basi hata kama usingekuwa unamsaidia kazi angeweza kukudharau kwa namna nyingine.
 
Salaam wadau,
Nimejaribu kuangalia kwa kina maisha ya ndoa hasa hizi za kiafrika, kipekee za kitanzania na nimegundua kuwa wengi wa wanaume huwafanya wanawake kuwa ni "watumwa" wao.

Yaani wanaume huwatumikisha wake zao kupita kiasi. Kuanzia kufua, kupika, kuosha vyombo na mikazi mingine kibao....bado mume akiwa ameketi atataka apakuliwe chakula, atengewe, hadi mikono eti anawishwe...Hivi ni kweli wewe mwanaume unashindwa hata kupakua chakula kutoka kwenye hotpot hadi upakuliwe..?
Mara atataka anyooshewe nguo, viatu ang'arishiwe....dah too much jamani!

Hivi huyo ni mkeo au mtumishi wako..!?
Modern men need to change bwanaaa!

Sio utumwa kaka ni mgawanyo wa kazi tu.
Kama unaona anateseka, Mtafutie House Girl amsaidie.
Lakini kwa mimi hainiingii akilini, kuanza kusaidia kuosha vyombo baada ya kurudi kazini.
Mbona humsaidii kubeba Mimba?
 
Mkuu am married over the past 4 years.
Mi mwenyewe kabla ya kuoa dreams zangu zilikuwa hivyo kwamba wife anitumikie kwa kila kitu. Baada ya kuingia ndani ya ndoa nikaona hakuna dili yoyote, na kiukweli kuna baadhi ya kazi huwa namsaidia wife na hazijawahi kuniondolea/na hazitaniondolea uanaume wangu, na badala yake inaniongezea upendo kwa wife.
congrats and i am proud of you

Kwangu mimi, kutaka kila kitu eti ufanyiwe na wife, ni fikra mgando.
Ashakum si matus: Kuna baadhi ya men hata nguo zao za ndani wanawaachia wake zao wafue....shame!
Siamini kama a modern man anaweza akataka kila kitu afanyiwe na mkewe as far as home care is concerned, nasema haya kwasbabu wanaume wengi tumesoma vyuo au sekondari ambapo tulijitegemea na tuliweza kusaidiana na girl friends zetu, my only concern ni hiyo ya kufuliwa nguo za ndani, i dont mind her doing it as long as hakushurutishwa na mtu...

remember as we grow and the family grow, our relationship becomes mutual and symbiotic that before

but because i dont know people around you then siwezi kusema sana.... given a chance to share the situation around my friends, sina hata mmoja anayefanya kama ulivyosema kwenye post # 1 and more than 10 wapo humu JF especially MMU

Good luck in this good advocacy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom