Tukiwa kama watanzania tuna haki ya kusifu mchango wa mtu au kundi kufulani, tunakubali mchango wa cdm ndani na nje ya bunge lakini hapa jf zikiwekwa post ya kumzunumzia mtu muhimu na makini kama profesa lipumba watu huhamaki na hata kutukana, lakini kubwa tujiulize ni nani asiyejua kuwa lipumba ndiye mkombozi wa siasa za mageuzi nchini, mara baada ya wazanzira kuuliwa na mkapa kupiga marufuku maandamano aliwza kuongoza watanzani kudai haki yao ya msingi kwa mujibu wa katiba na hata kupigwa na kuumizwa mkono hata haya naya nayo bado tu tunamuona hafai?